Ya Makocha Nabi na Kaze 'Kutukanana' mlibisha haya Kanusheni sasa na la Aucho na Morrison kutukanana jana mazoezini

Jamaa yangu GENTAMYCINE, hivi ni kwa nini unapenda sana kila mtu akuone humu jukwaani kuwa wewe ni popoma mbobevu?
 
Wanajiita timu mkubwa ila kutwa kuifuatilia Yanga.

Mgunda anaulizia mkataba mnampa lini au bado mnampima?
 
Dah! hivi unatumia bangi gani!? yaani acha tu .....
Jitahidi ufike Milembe mapema
 
inawezekana lakini ni mambo ya kawaida sana watu kupishana kauli hata kupelekea kutukanana!hakuna jambo jipya au la kushangaza!wachezaji wanatukanana uwanjani sembuse kambini!
 
Morrison ameenda kwenye timu inayofanania akili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…