mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Angalia mshangao wa Mange Kimambi alivyomwaminia Zamaradi kumteka kimahaba boss wake ruge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusu hati miliki ya Zamaladi kwa Boss RugeSijaelewa kabisa wamefanya nini?? Huyo mwenye kanzu ni nini?
nikufafanulie?Sijaelewa kabisa wamefanya nini?? Huyo mwenye kanzu ni nini?
Nimejikuta nacheka sana kwa hilo swali lako, mkuu huyu ndio nani eti?! Kazi kwelikweli. Ndie RUGE MUTAHABA BOSI WA CLOUDS, na mpenzi wake ZAMARADI mtangazaji wa clouds TV, ndie alie muhoji shoga, na bosi RUGE amesema hawaombi radhi ng'oo, chezea mahaba kazini wewe.Sijaelewa kabisa wamefanya nini?? Huyo mwenye kanzu ni nini?
Dah nilidhani wachumi furani, sasa hot news yao kuwa hapa JF ni nini?? Wanatangaza ushoga??Nimejikuta nacheka sana kwa hilo swali lako, mkuu huyu ndio nani eti?! Kazi kwelikweli. Ndie RUGE MUTAHABA BOSI WA CLOUDS, na mpenzi wake ZAMARADI mtangazaji wa clouds TV, ndie alie muhoji shoga, na bosi RUGE amesema hawaombi radhi ng'oo, chezea mahaba kazini wewe.
Ni macelebrity wa kibongo, wapo kwenye jukwaa lao tuwajadili, haina jinsi tuwajadili tu.Dah nilidhani wachumi furani, sasa hot news yao kuwa hapa JF ni nini?? Wanatangaza ushoga??
mchepuko kampiku nyumba kubwa kaolewa.. mchepuko hapo ni Zamaradi mtangazaji wa Clouds Tv na bwana ni boss wake Ruge.. umeelewa?Ndiyo swthrt.....
Kabila la Wahaya huwa wanavaa kanzu kimila wakati wa harusi haijalishi ni dini gani.Sijaelewa kabisa wamefanya nini?? Huyo mwenye kanzu ni nini?
Na nyumba kubwa ni nan mkuumchepuko kampiku nyumba kubwa kaolewa.. mchepuko hapo ni Zamaradi mtangazaji wa Clouds Tv na bwana ni boss wake Ruge.. umeelewa?
muulize niliyemjibu..Na nyumba kubwa ni nan mkuu
muulize niliyemjibu..
nikufafanulie?
Mmmh,kumbe wadada wa mkoani mkija dar hamjambo kwa ubuyu,eeehmchepuko kampiku nyumba kubwa kaolewa.. mchepuko hapo ni Zamaradi mtangazaji wa Clouds Tv na bwana ni boss wake Ruge.. umeelewa?
of course.Mmmh,kumbe wadada wa mkoani mkija dar hamjambo kwa ubuyu,eeeh
mkuu unakwenda uvinzadaaah kweli pesa ndio handsome boi hapa mjini....siamini kabisa kama huyo ndio Ruge anaewaburuza watoto wazuri hapa mjini
ngoja niendelee kuchimba chumvi nizikamate na mimi
Vzr...of course.