Ya Mohamed Mwameja na ubora wa Shule za Kayumba katika kuwaandaa watoto na maisha halisi

Ya Mohamed Mwameja na ubora wa Shule za Kayumba katika kuwaandaa watoto na maisha halisi

Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game.

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba "YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.

Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. (Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)

Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM, anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?

Analipia mchakato (THE process) au analipia matokeo (the end product/kwa maana ya what will his child become after school)..

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)
Ulianza vizuri lakini ulipofika Kayumba umebugi sana. Kayumba hazina vitabu, ukimpeleka mwanao kwa mantiki yako usitegemee atatoboa ng'oo hawezi. Ugumu unaozungumzwa na Mwameja na yule Mjapan ni mazoezi yenyewe. Vifaa vya kufanyia hayo mazoezi vipo. Huko Kayumba hakuna vitabu, walimu hawawajibiki ipasavyo hao ndiyo yanayolalamikiwa.
 
Ulianza vizuri lakini ulipofika Kayumba umebugi sana. Kayumba hazina vitabu, ukimpeleka mwanao kwa mantiki yako usitegemee atatoboa ng'oo hawezi. Ugumu unaozungumzwa na Mwameja na yule Mjapan ni mazoezi yenyewe. Vifaa vya kufanyia hayo mazoezi vipo. Huko Kayumba hakuna vitabu, walimu hawawajibiki ipasavyo hao ndiyo yanayolalamikiwa.
Vitabu unamnunulia mwenyewe anakuwa anajisomea akiwa nyumbani
 
Muda mwingi mtoto anautumia akiwa shuleni usilisahau lakini. Hata hivyo hoja yako ni mashiko..mzazi lazima uwe ndio mwalimu wa kwanza kwa watoto wako.
Ni sahihi mkuu kwamba mtoto muda mwingi anautumia akiwa shuleni,lakini je anautumia akiwa pamoja na nani huko shuleni ?

Muda mwingi mwaafunzi anautumia akiwa shuleni lakini muda mwingi huo anakuwa pamoja na wanafunzi wenzake mara nyingi.

Muda ambao mwanafunzi atakuwa shuleni anaonana na mwaimu ni muda wa vipindi tu.

Imagine mwalimu anaingia kwenye kipindi kinachotumia saa moja na nusu darasani,darasa lina wanafunzi 50.

Je mwalimu huyu atapata wapi muda wa kumcare mtoto mmoja mmoja kwa lmasaa mawili mpaka watimie watoto 50 wote ?

Utaona kwamba mwalimu hana mchango MKUBWA(LABDA 10%)KATIKA KJMKUZA MTOTO KITABIA NA KIMALEZI KWANI HUO MUDA WA KUKAA NA MWANAFUZNI HANA HUKO SHULENI.
 
Yaani maelezo yote hayo lengo kutetea shule St Kayumba.
Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game.

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba "YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.

Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. (Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)

Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM, anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?

Analipia mchakato (THE process) au analipia matokeo (the end product/kwa maana ya what will his child become after school)..

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)

Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game.

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba "YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.

Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. (Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)

Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM, anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?

Analipia mchakato (THE process) au analipia matokeo (the end product/kwa maana ya what will his child become after school)..

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)
Yaani maelezo yote hayo kumbe ni kuzipamba St Kayumba. Anyway, ngoja na mimi nianze kuwalaza njaa wanangu siku moja moja ili kuwaandaa ugumu wa maisha!
 
Yaani maelezo yote hayo lengo kutetea shule St Kayumba.



Yaani maelezo yote hayo kumbe ni kuzipamba St Kayumba. Anyway, ngoja na mimi nianze kuwalaza njaa wanangu siku moja moja ili kuwaandaa ugumu wa maisha!
Haya bana Baba Kelvin
 
Usihamishe majikumu ya wazazi ukawapa waalimu,hiyo haipo.

Wanafunzi 70 mwalimu mmoja hawezi kuhandle watoto wote.

Tuache shule iwe na jukumu la kutoa elimu,mzazi nyumbani ndio awe na jukumu la kuwashape watoto vipi wawe.
This means Mwalimu si mlezi! So, wonderful (wachaga wanasema 'ndafu') 🤣
 
Ni sahihi mkuu kwamba mtoto muda mwingi anautumia akiwa shuleni,lakini je anautumia akiwa pamoja na nani huko shuleni ?

Muda mwingi mwaafunzi anautumia akiwa shuleni lakini muda mwingi huo anakuwa pamoja na wanafunzi wenzake mara nyingi.

Muda ambao mwanafunzi atakuwa shuleni anaonana na mwaimu ni muda wa vipindi tu.

Imagine mwalimu anaingia kwenye kipindi kinachotumia saa moja na nusu darasani,darasa lina wanafunzi 50.

Je mwalimu huyu atapata wapi muda wa kumcare mtoto mmoja mmoja kwa lmasaa mawili mpaka watimie watoto 50 wote ?

Utaona kwamba mwalimu hana mchango MKUBWA(LABDA 10%)KATIKA KJMKUZA MTOTO KITABIA NA KIMALEZI KWANI HUO MUDA WA KUKAA NA MWANAFUZNI HANA HUKO SHULENI.
Elimu ya Msingi na Awali Mwalimu wa madarasa ya chini (awali, la 1 & 2) Mwalimu Ofisi yake huwa ni humo humo darasani. Hawachanganyiki na Walimu wengine kukaa Ofisi moja labda ishu maalumu kama vile vikao. Umewahi chunguza hili? Ukipata jibu jiulize ni kwa nn.
 
Back
Top Bottom