Ya Morison na Molinga yanatuadhibu Yanga

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Kusema kweli sisi mashabiki wa Yanga tumekua wanafki sana mpaka inafika hatua unafiki wetu unatugeukia.

Nashindwa kuelewa kwanini tunampa heshima Morison asiyostahil na kumdharau Molinga ambae ndiye top scorer wa team?

Morison anajionea keki kwa mpira asioujua.
 
Moringa ni kweli ndie mfungaji Bora kwasasa pale Yanga Ila uwezo wake hauendani na ukubwa wa timu. Moringa ni mzito, yeye na washambuliji wenzake ni wabovu kwelikweli. Sijawahi kuiona Yanga yenye washambuliaji butu kiasi hiki.
 
Moringa ni kweli ndie mfungaji Bora kwasasa pale Yanga Ila uwezo wake hauendani na ukubwa wa timu. Moringa ni mzito, yeye na washambuliji wenzake ni wabovu kwelikweli. Sijawahi kuiona Yanga yenye washambuliaji butu kiasi hiki.
Lakini ndo huyo huyo molinga pamoja na ubovu alionao ndo anawanuru na vipigo.. tofauti na yule jamaa yenu mnaenyenyekea!
 
Usimlinganishe Morrison na watu wakipuuzi wewe... Molinga bwege tu amepata upendeleo wa kucheza kila mechi lakini hamna mtu pale.
 
Molinga ana vitu vingi,control nzuri pia anapiga faulo vizuri huwezi kumlinganisha na yule babu Kagere anayefunga magoli ya penalty na offside
 
Morison anajua kucheza na majukwaa.

Ukitaka kuwateka wabongo wewe kuwa na mbwembwe zisizo na faida kwa team na uifunge simba basi. Morison kuifunga simba ndicho hicho kinamfanya awe juu pale vyurani.
 
Lakini ndo huyo huyo molinga pamoja na ubovu alionao ndo anawanuru na vipigo.. tofauti na yule jamaa yenu mnaenyenyekea!
Morrison hanyenyekewi Yanga si unaona amelimwa faini na hachezi? Pamoja na hilo usemalo huwezi linganisha uwezo wa molinga na Morrison hata kidogo labda kama ana kukera kwa lile free kick la tarehe 8 March!
 
Morison anajua kucheza na majukwaa.

Ukitaka kuwateka wabongo wewe kuwa na mbwembwe zisizo na faida kwa team na uifunge simba basi. Morison kuifunga simba ndicho hicho kinamfanya awe juu pale vyurani.
Simba hawana mchezaji kama yule,Hata manara alisema hilo.
 
Kwa kuwa aliwaondolea aibu kwa kuwafunga Wekundu wa msimbazi
 
Morrison hanyenyekewi Yanga si unaona amelimwa faini na hachezi? Pamoja na hilo usemalo huwezi linganisha uwezo wa molinga na Morrison hata kidogo labda kama ana kukera kwa lile free kick la tarehe 8 March!
Tunarudi pale pale... huyo jamaa mnamrusha sana ndo mana anawaona mandondocha, suala kufungwa hata mwadui wametufunga tena magoli mazuri..
 
Mnamchukia morrison sababu amesema ukweli.
HATAKI KUBURUZWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…