MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
AayaaaaaqYanga SC labda mkamsajili Chama wa Tandale kwani inasemekana hapo pia kuna Njemba moja nayo inajiita Clatous Tandale Chama. Mmeumbuka!
Taarifa: ShaffihDauda na Mwanaspoti
Na Mkude nae Wiki ijayo Simba SC inamsamehe kwa Kumuonya na Kumkata Mshahara kisha muda huo huo anasinya ( anasaini ) kubakia Simba SC.Aayaaaaaq
Na Mkude nae Wiki ijayo Simba SC inamsamehe kwa Kumuonya na Kumkata Mshahara kisha muda huo huo anasinya ( anasaini ) kubakia Simba SC.
Picha za kitambo Alisign kitambo ila picha mmetoa mmetoa leo ili kufunika inshu ya kishingo kwenda Morocco
Mbona ameongeza mkataba tangu tar 5 oct 2020Yanga SC labda mkamsajili Chama wa Tandale kwani inasemekana hapo pia kuna Njemba moja nayo inajiita Clatous Tandale Chama. Mmeumbuka!
Taarifa: ShaffihDauda na Mwanaspoti
Kwa hiyo mlikuwa mnasikilizia muingie kwenye makundi. Au baada ya kupata pesa ya kuingia kwenye makundiYanga SC labda mkamsajili Chama wa Tandale kwani inasemekana hapo pia kuna Njemba moja nayo inajiita Clatous Tandale Chama. Mmeumbuka!
Taarifa: ShaffihDauda na Mwanaspoti
Suala la usajiri ni vita, we unataka ukweli wote uwe unasemwa kila wakati?Kwahiyo Mudi Aliwadanganya Wamatopeni Kwa Media?
Uongo ndio mashine kuu ya kukngoza hapa Bongo, mambo ambayo hutasikia na kama ukisikia ni ya uongo ni pamoja umri wa mkataba na dau la usajili wa mchezaji.Kwahiyo Mudi mwanzo aliposema kampa mkataba wa miaka miwili alikua anadanganya.
Wewe kweli mwehu. Plateau na platinum zote znajua shughuli yakeChama ameshaisha! Yupo Goigoi sana siku hizi!
Uongo ndio mashine kuu ya kukngoza hapa Bongo, mambo ambayo hutasikia na kama ukisikia ni ya uongo ni pamoja umri wa mkataba na dau la usajili wa mchezaji.
Waulize Watu wa Simba SC tafadhali kwani Mimi siyo Mshabiki wa Simba wala Yanga wala Azam bali ni wa Taifa Stars japo Simba SC naiona Moto!!Kwahiyo Mudi mwanzo aliposema kampa mkataba wa miaka miwili alikua anadanganya.
Angekuwa Goigoi angewanyima Usingizi akina Injinia Hersi na GSM yao? Ama kweli kwa ulichokiandika hapa ni zile zile Sizitaki Mbichi hizi. Poleni!Chama ameshaisha! Yupo Goigoi sana siku hizi!
Japo Mimi siyo Mshabiki wa Simba SC bali ni wa Taifa Stars tu naomba kujua ni kwanini Suala hili la Chama Kusinya / Kusaini limewauma Yanga SC?Picha za kitambo Alisign kitambo ila picha mmetoa mmetoa leo ili kufunika inshu ya kishingo kwenda Morocco
Tatizo liko wapi?Mbona ameongeza mkataba tangu tar 5 oct 2020
Sema leo zimeachiwa picha