Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Walimu, kazi yao ni muhimu sana ila ndo wanadharauliwa na wenye mamlaka.ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
Ujumbe ufike
ππSio na mwalimu huyo alimzungumzia kontawaπππ
Huyo ni mwalimu mwingne kabisa ππππππ
Mwalim anawahi shulen mapema, njian ndo kwanzaz anakutana Mwanafunzi anapiga mswaki.Sio na mwalimu huyo alimzungumzia kontawaπππ
Oyaaa yupi Tena? πHuyo ni mwalimu mwingne kabisa ππππ
darasani sasaππMwalim anawahi shulen mapema, njian ndo kwanzaz anakutana Mwanafunzi anapiga mswaki.
Mwalim anawahi zamu ππ
Huyo inaonekana anaipenda kazi yakeOyaaa yupi Tena? π
Hakyanani...hii video imeachiwa na BASATA iende kabisa!!??πππKwenye Huu Wimbo, msijikite kwa mistari pekee inayohusu Mwalimu Na Mwanafunzi,, Sikilizeni KERO na Maisha halisi ya Mwalimu wa Tanzania.
Angalieni Mazingira ya Maisha ya Mwalimu kuanzia Mavazi ,Makazi, Chakula !!.
Hakika ni Tanzania pekee ambapo Mwalimu anaishi Maisha ya Taabu !!.
[emoji28][emoji28]Mambo ya fake ID sishangai Kontawa kuwa ndie Mpwayungu Village
mkuu tumemisi vihoja vyetu kule kwa rick boy njoo upesi.Mwalim anawahi shulen mapema, njian ndo kwanzaz anakutana Mwanafunzi anapiga mswaki.
Mwalim anawahi zamu ππ
One loveMpwayungu Village to the world
Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya fake ID sishangai Kontawa kuwa ndie Mpwayungu Village