Ya Muhimu ayasemayo sasa hivi Kocha Mwinyi Zahera kipindi cha Sports Headquarters EFM

Ya Muhimu ayasemayo sasa hivi Kocha Mwinyi Zahera kipindi cha Sports Headquarters EFM

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Yanga SC inacheza ligi nyepesi ya Tanzania.

2. Wachezaji wa Yanga SC hawajitumi ipasavyo.

3. Wachezaji wa Yanga SC wameshalewa mafanikio.

4. Upangaji wa kikosi cha Yanga SC ni mbovu sana.

5. Bernard Morrison si Mchezaji wa kuanza, kwani hakabi halafu anacheza kwa vipindi.

6. Simba SC imevuka na ipo mbali sana kimataifa.

7. Wachezaji wa Simba SC wana 'confidence' kubwa ya kucheza michezo ya kimataifa.

8. Kusema kuwa Al Hilal FC ilikuwa ni timu ndogo ni uongo, ila ukweli ni kwamba Yanga SC ilikutana na mfupa mgumu.

9. Usajili wa Beki Lomalisa Yanga SC tumepigwa kwani hana huo Msaada kwa Klabu na anazidiwa mno na Kibwana Shomary.

10. Wachezaji wakubwa ndani ya Yanga SC wanaogopwa na wanalindwa hivyo inaharibu mfumo na morali ya Timu hivyo tabia hii ife kabisa.

Niendelee au niishie hapa?
 
1. Yanga SC inacheza ligi nyepesi ya Tanzania.

2. Wachezaji wa Yanga SC hawajitumi ipasavyo.

3. Wachezaji wa Yanga SC wameshalewa mafanikio.

4. Upangaji wa kikosi cha Yanga SC ni mbovu sana.

5. Bernard Morrison si Mchezaji wa kuanza, kwani hakabi halafu anacheza kwa vipindi.

6. Simba SC imevuka na ipo mbali sana kimataifa.

7. Wachezaji wa Simba SC wana 'confidence' kubwa ya kucheza michezo ya kimataifa.

8. Kusema kuwa Al Hilal FC ilikuwa ni timu ndogo ni uongo, ila ukweli ni kwamba Yanga SC ilikutana na mfupa mgumu.

9. Usajili wa Beki Lomalisa Yanga SC tumepigwa kwani hana huo Msaada kwa Klabu na anazidiwa mno na Kibwana Shomary.

10. Wachezaji wakubwa ndani ya Yanga SC wanaogopwa na wanalindwa hivyo inaharibu mfumo na morali ya Timu hivyo tabia hii ife kabisa.

Niendelee au niishie hapa?
Perfect
 
1. Simba inacheza ligi nzito ya misri ndio maana kafuzu
Simba Kwa Tanzania ipo kimwili TU kiroho ni kimataifa Pira wanalopiga kimataifa wewe ni shahidi ,wakihamisha pira Hilo kwenye ligi hii kwa asilimia 80 hakuna team itasimama lakini damu inachemka wakisikia ni kimataifa huku kwenye ligi wanatafuta nafasi ya kimataifa basi
 
Simba Kwa Tanzania ipo kimwili TU kiroho ni kimataifa Pira wanalopiga kimataifa wewe ni shahidi ,wakihamisha pira Hilo kwenye ligi hii kwa asilimia 80 hakuna team itasimama lakini damu inachemka wakisikia ni kimataifa huku kwenye ligi wanatafuta nafasi ya kimataifa basi
Alisika kibogoyo mmoja amelewa mbege
 
Back
Top Bottom