Hizi ndiyo zile nchi sasa akiziita Trump lile jina letu pendwa. Mola akawalinde ma commissioner hawa waliosimama imara na katiba ya nchi.
Yale yale ya kura pigeni mnakotaka ila washindi tutatangazwa sisi.
"Chebukati names top govt officials who wanted to influence Presidential results outcome in favor of Raila » Capital News"
Kumbe wale wanaojinasibu kutokulala usiku kwa ajili yetu, kwa majina yao kutoka walikotoka hupelekaga matokeo yanayotakiwa kutangazwa?
Kwa mwendo huu bila tume hizi kuwekewa ulinzi japo wa ma blackwater, bado sana!
Yale yale ya kura pigeni mnakotaka ila washindi tutatangazwa sisi.
"Chebukati names top govt officials who wanted to influence Presidential results outcome in favor of Raila » Capital News"
Kumbe wale wanaojinasibu kutokulala usiku kwa ajili yetu, kwa majina yao kutoka walikotoka hupelekaga matokeo yanayotakiwa kutangazwa?
Kwa mwendo huu bila tume hizi kuwekewa ulinzi japo wa ma blackwater, bado sana!