Hivi mnajua paka sasa Mo anaidai Simba Tsh ngap? Mo hatoi msaada bali anaikopesha Simba na kwa taarifa yako simba inadaiwa fedha nyingi na Mo kuliko iyo bil 20 ya uwekezaji
Njoo kwangu nikupe mchango sawa?We chawa acha matusi, toa mchango wa kujenga timu yetu Mo anatupiga sana
Ulikuwa unataka uandike nini?!!Sportpesa shikilia hapo hapo UTO BIN
Umemaliza, tuwasubiri vinyoka nyoka "Cesar Manzoki"Jibu ni hili. Mdhamini mkuu (wa klabu) huwa anakuwa ni mmoja tu, na ndiye anayewekewa nembo kubwa kifuani. huyu kutokana na ukubwa wake, hata hela anayotoa ni ndefu. Baada ya kupata mdhamini mkuu, klabu inaweza ikawatafuta wadhamini wengine wadogo ambao nembo zao zinakaa pembezoni mwa jezi sawia na nembo ya mdhamini wa ligi (TFF, CAF, FIFA), sio kifuani. Hawa hata hela wanayotoa huwa sio kubwa kama ya mdhamini mkuu
Kwa kujibu swali lako, NBC, Mo Extra, Africarriers, MO29, ATCL, Vunjabei nk kama wanatakiwa kukaa katika jezi, basi ni pembezoni, maana mdhamini mkuu (M-Bet) nafasi yake ni kifuani. Kwa hiyo ndugu, tuondokane na mawazo ya kulalamikia wadhamini eti wanatoa hela ndogo, tena hasa kwa kuziandama bidhaa za MeTL, hawa wote wanaisaidia sana Simba lakini bado kwa heshima M-Bet anayetoa hela nyingi anakaa kifuani. Kuendelea kulinganisha M-Bet na Mo Extra au Vunjabei ni kuendekeza mawazo yaliyofinyika
Sema Simba inadaiwa jumla ya pesa kiasi gani. Acha kurukaruka. Unatoka kwenye jambo la msingi wakati awali ulidai zaidi ya 20b.Mkuu juzi tu kwenye mkutano mkuu wa klabu Mo kaikopesha Simba bil 3.9. Je unazo hizi taarifa au huna?
Ndugu zangu wa Simba hili sakata la Malalamiko ya SportPesa kwa uongozi wa Yanga lisitupotezee muda tukashindwa kujadili mambo muhimu yanayohusu klabu yetu ya Simba na maendeleo yake.
Tunatakiwa Tuhoji kwanini uongozi wa Simba uingie Mkataba na Mo Xtra wa milioni 150. Yaani Mbet alipe bilion 5 kwa mwaka halafu Mo Xtra alipe Mil 150 kwa Mwaka?
Simba ni brand kubwa Afrika, ni mpumbavu pekee anaweza kufurahia kifua cha jezi ya Simba kikichezewa namna hii.
Mkataba huu ni wa kinyonyaji sana na unaipunja klabu yetu..
Nilichogundua hii nchi ina watu wengi maskini halafu wana wivu, wajuaji wasiojitambua.Jibu ni hili. Mdhamini mkuu (wa klabu) huwa anakuwa ni mmoja tu, na ndiye anayewekewa nembo kubwa kifuani. huyu kutokana na ukubwa wake, hata hela anayotoa ni ndefu. Baada ya kupata mdhamini mkuu, klabu inaweza ikawatafuta wadhamini wengine wadogo ambao nembo zao zinakaa pembezoni mwa jezi sawia na nembo ya mdhamini wa ligi (TFF, CAF, FIFA), sio kifuani. Hawa hata hela wanayotoa huwa sio kubwa kama ya mdhamini mkuu
Kwa kujibu swali lako, NBC, Mo Extra, Africarriers, MO29, ATCL, Vunjabei nk kama wanatakiwa kukaa katika jezi, basi ni pembezoni, maana mdhamini mkuu (M-Bet) nafasi yake ni kifuani. Kwa hiyo ndugu, tuondokane na mawazo ya kulalamikia wadhamini eti wanatoa hela ndogo, tena hasa kwa kuziandama bidhaa za MeTL, hawa wote wanaisaidia sana Simba lakini bado kwa heshima M-Bet anayetoa hela nyingi anakaa kifuani. Kuendelea kulinganisha M-Bet na Mo Extra au Vunjabei ni kuendekeza mawazo yaliyofinyika
Linapokuja suala la mikataba na mambo ya kisheria, Simba wapo vizuri sana kulinganisha na Yanga.Wakiambiwa wao Mbumbumbu wanakataa
Huyu eng.Hersi mechi 6 bilion 1.5.Mangungu & Barbara MO extra mech 50+ milioni 150.Hoji mwenyewe.
Unataka uhoji na nani?
Kwanza unaanzaje kuhoji mkataba halisi hauna. Hawa Utopolo wapumbav sana wanapenda kudandia asiyowahusu
Malizaneni kwanza na Sportpesa na Fei. Huyu anaweza kuongoza wananch wajinga wajinga tu wanaoishi jangwani, lakini sio wananchi wa Tanzania. Ni aher tukamfufue Chifu Mangungo wa Msowero amrithi Samia kuliko huyu Injinia feki anaesaini mikataba ya hovyo huku akijua anafanya nini. Huyu tukimpa nchi atasaini mikataba ya hovyo na atauza hadi vyura wa Kihansi sembuse wa vidimbwi vya jangwani.Huyu eng.Hersi mechi 6 bilion 1.5.Mangungu & Barbara MO extra mech 50+ milioni 150.
Mama Samia akimaliza muda wake tumpe nchi huyu mzalendo
Gsm akikaa kwenye bega la Yanga haitoshi!? Afterall ule ni mkataba wa TFF na Gsm, Simba waliukataa kwa kuwa wao hawakushirikishwa kabla haujasainiwa.Aisee sasa ilikuwaje tukatae mil 100 za gsm kukaa begani kama Mo Xtra yupo kifuani Kwa mil 150??
Kwaio mkajiona wajanja kukataa mil 100 za gsm begani ilamkaona muweke Mo Xtra kifua Kwa mil 150?Gsm akikaa kwenye bega la Yanga haitoshi!? Afterall ule ni mkataba wa TFF na Gsm, Simba waliukataa kwa kuwa wao hawakushirikishwa kabla haujasainiwa.
We ni shabiki maandazi huwezi kuelewa haya mambo[emoji1][emoji1]Unajipendekeza sana Simba wewe Babu utopolo...
Simba kila kitu kiko wazi anaetaka afike msimbazi akajionee...
Hiyo 150 hata Ihefu wasingekubaliYaani Mwamed anaitumia Simba kwa maslahi yake halafu kuna mazuzu yanaona anawasaidia. Hivi Kwa jinsi anavyojitangaza kupitia Simba halafu anatoa eti mil 150? Sasa hizo mil 150 za nini? Wakati hata ela ya kumsajili baleke haitoshi
MO hajaweka pembeni kawawekea mkono kwa nyuma makalioni Mo foundation [emoji112]Jibu ni hili. Mdhamini mkuu (wa klabu) huwa anakuwa ni mmoja tu, na ndiye anayewekewa nembo kubwa kifuani. huyu kutokana na ukubwa wake, hata hela anayotoa ni ndefu. Baada ya kupata mdhamini mkuu, klabu inaweza ikawatafuta wadhamini wengine wadogo ambao nembo zao zinakaa pembezoni mwa jezi sawia na nembo ya mdhamini wa ligi (TFF, CAF, FIFA), sio kifuani. Hawa hata hela wanayotoa huwa sio kubwa kama ya mdhamini mkuu
Kwa kujibu swali lako, NBC, Mo Extra, Africarriers, MO29, ATCL, Vunjabei nk kama wanatakiwa kukaa katika jezi, basi ni pembezoni, maana mdhamini mkuu (M-Bet) nafasi yake ni kifuani. Kwa hiyo ndugu, tuondokane na mawazo ya kulalamikia wadhamini eti wanatoa hela ndogo, tena hasa kwa kuziandama bidhaa za MeTL, hawa wote wanaisaidia sana Simba lakini bado kwa heshima M-Bet anayetoa hela nyingi anakaa kifuani. Kuendelea kulinganisha M-Bet na Mo Extra au Vunjabei ni kuendekeza mawazo yaliyofinyika
Tunakuja uwanjani sasa vice versaLinapokuja suala la mikataba na mambo ya kisheria, Simba wapo vizuri sana kulinganisha na Yanga.