Ya "Unikome" na Idris yashapita: Rosa Ree kacheza X uchi ngoma yake mpya

Ya "Unikome" na Idris yashapita: Rosa Ree kacheza X uchi ngoma yake mpya

wenyewe hizi video wamalekani walishaachaga kushoot hz video muda sana tatizo ushamba umetuzidi tatizo kamera HD zimechelewa kuja ndio maana wanadata wasanii wetu vituko haviwaishi [emoji22]
 
Duh ukikazamishia ukuni haka kadada ukuni mkubwa kama wa ngosha kama mimi lazima kaache hizi mambo

Shida ya wanaume wa dar vibamia had madem nyege zinawapanda kichwan
 
Kwani wakivaa vitenge au yale majoho ya kinaija mziki hausongi? Bora wauze nafsi zao kwa shetani basi tujue moja wapate fame na hela. Sio wanajiacha uchi uchi kwa pesa madafu, watazamaji wenyewe sisi tumechoka na jua hayo mambo wapeleke mbele huku hapa wanajidhalilisha tu

Unadhani hadi sasa hawajauza hizo nafsi zao kwa shetani? Hicho walichofanya hapo ni ushetani mtupu.
 
Kiki za kichoko kufosi kusikika hazifai, zaidi utaonekana mnoko unaji mwambafai...

Ukweli mtupu ni kwamba asilimia kubwa wasanii waliowengi wana nyota ya john sin na mia khalifa, mziki na kuigiza vi movie vyao uchwara wana foji tu
 
Wiki imekua na mengi sana na bado haijaisha, Ali kiba na style ya nitoke vipi, kalalamika anafanywa na Diamond mchezo mchafu, kashindwa kuvumilia akaamua kuweka wazi anakerwa na huu mchezo kwa kutia msisitizo kwa diamond "UNIKOME" huenda kiba ana kipaji cha taarabu sema hapendi show off 😂 😂.

mda si muda idris akajimwabafai afanye utani wake wa kina baraka kwa Magu, Jana kalala central.

Kali kuzidi zote ni kitu kipya kutoka jikoni , Rosa ree kaachia ngoma mithiri ya kucheza mkanda wa ngono "X" kwenye video, yupo mtupu kabisa jicho kalegeza ikidhaniwa kwamba kuna kitu anakihisi kutoka kwa mwanaume aliempakata huku akichezea ch*ch* live bila chenga.....


Hii video ndio ingekua imetoka WCB 😂😂😂 ingekua gumzo sana na basata wangesha mtia mtu ban,lakini kwa wengine wala hakuna kelele...bongo kitu inaitwa hate,no ugonjwa unahitaji tiba kubwa mnoo
Screenshot_20191101-002053.png
Screenshot_20191101-002017.png
Screenshot_20191101-001800.png
 
Hii ngoma ameshilikishwa na uyo mchizi timmy dat ni mkenya na ndie anakula mzigo wa dada yetu kwa sasa
 
Ndiooo.. Vitamin U nimempata, yani wametiana hadi wanaona kama wanaongezeana vitamin
[emoji23][emoji23][emoji1787] Noma kweli
 
Daaah... Hii video inafaa kwa matumizi ya CHAPUTA
 
Dah... Sijaiona..

Ila Kwa Picha hizo. Hawa ni wapenzi.
 
Ukisema hivyo,vipi kakaake Menina au Nandy wa midole?
Hawa watu basi tu,ukiwasema vibaya wanajificha chini ya miavuli ya mama na dada zetu.
Kama ni dadaangu undugu ufe tu.. sio kwa kujidhalilisha kule
 
Back
Top Bottom