Ya Yanga fans kupewa dreamliner na Biashara United wachezaji kukosa Ndege

Ya Yanga fans kupewa dreamliner na Biashara United wachezaji kukosa Ndege

Maamuzi ya serikali huwa ni ya kutahabanika na kufikirisha sana. Serikali hii hii wakati Biashara United ya Mara akielemewa kwa kukosa nauli na mipango ya logistics kukwama kwenda Libya ambapo alikua mguu mmoja kuingia makundi kombe la shirikisho hili hili ambao Yanga katinga fainali kwani game ya 3 tayari walikua wameshafanya vizuriiii na mwarabu alikua kafa pale Azam Complex goals 3.

Yumkini Biashara United angesaidiwa hata Ndoo Angetwaa na ama angeongoza zaidi points za nchi CAF na kuongeza ushiriki wa teams na kupandisha viwango vya CAF.

Cha kushangaza na kusikitisha serikali hii hii iliwanyima Biashara United usaidizi na imewapa Yanga ndege ya bure tena kwa mashabiki tu wapambe nk na sio team i mean wachezaji. Yaani mwenye uhitaji alipewa kisogo na mwenye uwezo akaongezewa.

Siasa Siyasa Uraia.

Ikulu nendeni mkapongezane hiyo kesho kutwa ila sisi mashabiki wa Biashara United ya Mara mtuombe radhi na msamaha.
hivi kwli huoni tofauti ya kwenda maundi na kwenda fainali?
 
Serikali haipendelei mwakani simba ikomae tu ikifika fainali mbona ndege zipo mtapewa tuu ni swala la kukomaa hadi final basii
Sidhani ila kwa kumbukumbu zangu za mpira simba hajawahi kupewa incetives na gava na hakuna game yake serikali ilishawahi nunua tickets
 
hivi kwli huoni tofauti ya kwenda maundi na kwenda fainali?
Nina imani unamaanisha makundi na sio maundi. Member, ni hivi; kuna tofauti ila kumbuka na elewa kuwa hakuna fainali bila kupitia makundi. Support ni kujenga na sio zimamoto. Kikubwa serikali yetu isupport teams hizi equally hasa changa hizi ili kukuza soka collectively.
 
Nina imani unamaanisha makundi na sio maundi. Member, ni hivi; kuna tofauti ila kumbuka na elewa kuwa hakuna fainali bila kupitia makundi. Support ni kujenga na sio zimamoto. Kikubwa serikali yetu isupport teams hizi equally hasa changa hizi ili kukuza soka collectivel

Nina imani unamaanisha makundi na sio maundi. Member, ni hivi; kuna tofauti ila kumbuka na elewa kuwa hakuna fainali bila kupitia makundi. Support ni kujenga na sio zimamoto. Kikubwa serikali yetu isupport teams hizi equally hasa changa hizi ili kukuza soka collectively.
basi hukupaswa kuuweka huu uzi km malalamiko coz kilichofanya na raisi si kitu rasmi kutoka serikali kwenda kwa klabu,ile ilikuwa km pongezi kwa hatua ile yanga ilipofikia ni km hamasa tu

uzi ungekuwa ni wakushauri serikali kwa ujumla kupitia wizara husika kuziandalia bajeti timu zinazoshiriki michuano ya CAF,lkn ku compare alichopata yanga kutoka serikalini na alichokikosa biashara hai make sense...COZ BIASHARA ALIHITAJI MSAADA KTK MECHI ZOTE AMBAZO ANGESHIRIKI KTK ILE MICHUANO NA SI ILE MECHI MOJA TU.
 
Back
Top Bottom