Yaani akina Okra, Baleke na Wengineo wanawadai Mamilioni bila aibu mnamzawadia Aziz K haya Mamilioni

Yaani akina Okra, Baleke na Wengineo wanawadai Mamilioni bila aibu mnamzawadia Aziz K haya Mamilioni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Yanga imempatia kiungo wao mshambuliaji, Stephane Aziz Ki na mkewe wake, Hamisa Mobetto Sh50 milioni kama zawadi katika sherehe yao.

Hilo limebainishwa na Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine wakati wa sherehe ya aga dimba ya Aziz Ki na Hamisa iliyofanyika katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki zawadi kwa bwana na bibi harusi.

Naye, Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amemsisitiza mwanamitindo Hamisa kujua namba za siri za mumewe.

“Nataka kuliweka hili sawa. Hii sio ahadi kiasi cha Sh 50 milioni kimeshaingizwa kwenye akaunti ya Aziz Ki, na Hamisa kitu cha kuzingatia ni kujua 'passwordi' maana pesa tumeshaitoa,” amesema Kamwe.

Chanzo: mwananchi_official

Kwahiyo hii Hela 50M ndiyo kusema katika Mshahara wake mtakuwa mnamkata kidogo kidogo ili mjilipe tu Kiaina au?
 
Unauhakika iyo pesa atapewa? Hujui kama nyuma mwiko ni zaidi ya matapeli iyo millioni 60 azizi asopo idai FIFA sidhani kama atapewa
 
Dada wewe una wivu na harusi ya Mobetto!, Basi ngoja tumtume mwamnyeto akuchumbie na wewe ili tumpe 60m za kukuposa!!. Afu tutakununulia shera wewe na JEMEDARI sawa ee.
 
Klabu ya Yanga imempatia kiungo wao mshambuliaji, Stephane Aziz Ki na mkewe wake, Hamisa Mobetto Sh50 milioni kama zawadi katika sherehe yao.

Hilo limebainishwa na Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine wakati wa sherehe ya aga dimba ya Aziz Ki na Hamisa iliyofanyika katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki zawadi kwa bwana na bibi harusi.

Naye, Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amemsisitiza mwanamitindo Hamisa kujua namba za siri za mumewe.

“Nataka kuliweka hili sawa. Hii sio ahadi kiasi cha Sh 50 milioni kimeshaingizwa kwenye akaunti ya Aziz Ki, na Hamisa kitu cha kuzingatia ni kujua 'passwordi' maana pesa tumeshaitoa,” amesema Kamwe.

Chanzo: mwananchi_official

Kwahiyo hii Hela 50M ndiyo kusema katika Mshahara wake mtakuwa mnamkata kidogo kidogo ili mjilipe tu Kiaina au?
Mil 50 yote ni ya Hamisa
 
Back
Top Bottom