Yaani anaachwa Dar es Salaam Mkude aliye Fiti anaenda Kampala Mchovu Sawadogo?

Yaani anaachwa Dar es Salaam Mkude aliye Fiti anaenda Kampala Mchovu Sawadogo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
 
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Punguza hasira Mkuu. Kuna watu wajuaji kwenye hivi vilabu lakini ukiangalia Kwa undani wanasumbuliwa na ubinafsi tu.
 
Kusema kuwa isiwepo kwenye ramani ya soka ya dunia kwasababu ya kufungwa na Vipers hilo haliwezekani, lakini hapa ni kitu cha kushangaza kuachwa Mkude ilhali game ngumu dhidi ya Raja alicheza pamoja na kutokuwa vizuri, kutokana na kukaa muda mrefu benchi.
 
Mkude ni mzigo mwingine tu, hakufaa kubaki Simba, no 6 asiyetaka kukaba ni hasara, ni mvivu wa mazoezi na mlevi mzuri, naamini msimu ujao tutamtakia mema na kumshukuru kwa huduma yake, aendelee na maisha mengine.
 
Mkude ni mzigo mwingine tu, hakufaa kubaki Simba, no 6 asiyetaka kukaba ni hasara, ni mvivu wa mazoezi na mlevi mzuri, naamini msimu ujao tutamtakia mema na kumshukuru kwa huduma yake, aendelee na maisha mengine.
Moja ya anguko kuu la Simba ni kutomtumia Mkude amini nakuambia.

Mafanikio yote ya Simba kufika robo fainali Mkude alikua anacheza,Mkude sio mchezaji mbaya ni passer, playmaker ukabaji wa Mkude ni ule wa kufanya block,na interceptions sio mnyang'anya mipira.hivyo ni kumpatia mwenzake ambae ana tank kubwa .

Simba ile yenye mafanikio hawa akina Mzamiru walikua wanasugua benchi wwnaingia kumalizia tu leo hii hawa wasugua benchi ambao ndio wako kwenye first 11 mnataka wawape mafanikio sio kweli

Simba tumefeli kwenye sajili zetu toka last season na huu ni msalaba wa viongozi wetu tuna timu ya kawaida
 
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Pole mtani,miaka yote haiwezi kufanana kubali yaishe,mwaka huu mnapoteza kote kote😂
 
Moja ya anguko kuu la Simba ni kutomtumia Mkude amini nakuambia.

Mafanikio yote ya Simba kufika robo fainali Mkude alikua anacheza,Mkude sio mchezaji mbaya ni passer, playmaker ukabaji wa Mkude ni ule wa kufanya block,na interceptions sio mnyang'anya mipira.hivyo ni kumpatia mwenzake ambae ana tank kubwa .

Simba ile yenye mafanikio hawa akina Mzamiru walikua wanasugua benchi wwnaingia kumalizia tu leo hii hawa wasugua benchi ambao ndio wako kwenye first 11 mnataka wawape mafanikio sio kweli

Simba tumefeli kwenye sajili zetu toka last season na huu ni msalaba wa viongozi wetu tuna timu ya kawaida
Lwanga alikuja kuziba udhaifu wa Mkude, na kabla ya Lwanga alikuwepo Fraga. Mkienda mechi ya away na Mkude ndio no 6, ndio zile tulikuwa tunakula nne nne na tano. Mkude bado yupo Simba sababu tu ya ukaribu wake na Mo Ila hana msaada na hastahili kubaki Simba ,
 
Lwanga alikuja kuziba udhaifu wa Mkude, na kabla ya Lwanga alikuwepo Fraga. Mkienda mechi ya away na Mkude ndio no 6, ndio zile tulikuwa tunakula nne nne na tano. Mkude bado yupo Simba sababu tu ya ukaribu wake na Mo Ila hana msaada na hastahili kubaki Simba ,
Kwaiyo bora ya sawadogo kuliko mkude eti🤔🤔🤔🤔
 
Lwanga alikuja kuziba udhaifu wa Mkude, na kabla ya Lwanga alikuwepo Fraga. Mkienda mechi ya away na Mkude ndio no 6, ndio zile tulikuwa tunakula nne nne na tano. Mkude bado yupo Simba sababu tu ya ukaribu wake na Mo Ila hana msaada na hastahili kubaki Simba ,
Mwaka waashida,shida,shida,shida, mwaka wa shidaaa🏃🦁.Hata sijui nani anawakimbuzeni😂
 
Moja ya anguko kuu la Simba ni kutomtumia Mkude amini nakuambia. Mafanikio yote ya Simba kufika robo fainali Mkude alikua anacheza,Mkude sio mchezaji mbaya ni passer, playmaker ukabaji wa Mkude ni ule wa kufanya block,na interceptions sio mnyang'anya mipira.hivyo ni kumpatia mwenzake ambae ana tank kubwa .
Imani na sayansi ni vitu viwili tofauti, ingawa sayansi inaitumia imani kimyakimya
 
Moja ya anguko kuu la Simba ni kutomtumia Mkude amini nakuambia.

Mafanikio yote ya Simba kufika robo fainali Mkude alikua anacheza,Mkude sio mchezaji mbaya ni passer, playmaker ukabaji wa Mkude ni ule wa kufanya block,na interceptions sio mnyang'anya mipira.hivyo ni kumpatia mwenzake ambae ana tank kubwa .

Simba ile yenye mafanikio hawa akina Mzamiru walikua wanasugua benchi wwnaingia kumalizia tu leo hii hawa wasugua benchi ambao ndio wako kwenye first 11 mnataka wawape mafanikio sio kweli

Simba tumefeli kwenye sajili zetu toka last season na huu ni msalaba wa viongozi wetu tuna timu ya kawaida
Mlichofanikiwa simba ni upande wa mawinga tu ila uko kwengne kote zero kabsa.
 
Back
Top Bottom