Yaani anaachwa Dar es Salaam Mkude aliye Fiti anaenda Kampala Mchovu Sawadogo?

Yaani anaachwa Dar es Salaam Mkude aliye Fiti anaenda Kampala Mchovu Sawadogo?

Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Wewe kichwa chako kimejaa ugoro

 
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Mkude alipoingia tu mechi ya Raja nilimwambia mtu kuwa leo tunapigwa nyingi. Hawezi kukaba, anadhani defensive midfield kazi yake ni kupiga pasi za kuanzisha mashambulizi
 
Simba sasa hivi wanapapasapapasa tu PA kupita hawapaoni hawajui njia ipo wapi makocha nao wanaombeana njaa maana wanasema adui yako muombee njaa basi shida tupu.
 
Kama sub ya Kanoute bora niende na Sawadogo anayefika kwenye matukio kwa kuchelewa kuliko Mkude anayebaki tu kuwa Shahidi...

Yaani acheze tu kisa anapiga pasi nzuri,,, kama hawezi kulinda backline yake akae tu Dar alinde Ofisi za MO..
 
Kama sub ya Kanoute bora niende na Sawadogo anayefika kwenye matukio kwa kuchelewa kuliko Mkude anayebaki tu kuwa Shahidi...

Yaani acheze tu kisa anapiga pasi nzuri,,, kama hawezi kulinda backline yake akae tu Dar alinde Ofisi za MO..
Mkude sio wa kubaki Simba, makosa makubwa ya Sawadogo ni kukosa utulivu wakati wa kuanzisha mashambulizi, ila Sawadogo anakaba vizuri kabisa. Mkude kukaba hataki, anakimbia kama father fulani hivi.
 
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.

Na taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Mkude Kaachwa na kama vile anatengwa kwakuwa ni Mtu wa Msimamo na hataki kutoa 10% kwa Kocha Mgunda, Meneja Rweymamu na Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi Simba SC.

Na Mchovu Sawadogo anapangwa Kilazima kwakuwa Watajwa Watatu hapa juu wanakula 10% yake katika Posho na Mshahara huku huyo Kiongozi ( Kigogo ) Mmoja Mwandamizi akiwa amekula almost 30% ya Signing Fee yake na ndiyo huwa analazimisha apangwe na Mkude ( anayemchukia ) asipangwe.

Naitakia kila la Kheri Vipers FC ya Uganda Jumamosi ili iifunge Simba SC yangu na Mgogoro mkubwa utokee Simba SC, tuchapane, tuvunjane, tujeruhiani na ikiwezekana hata tutoane na Roho kabisa kwani inakera na haivumiliki tena.

Hovyo kabisa......!!!!!!
unawazia matakoni
 
Maombi yangu kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu ya Kwetu ni Kuomba tu Simba SC tufungwe ili Safari hii tutoane Roho na Klabu isiwepo tena katika Ramani ya Soka Duniani.
Mungu huwa hakubali maombi ya watu wasio na akili timamu, wapumbavu na wasioelewa kinachoendelea duniani
 
Back
Top Bottom