Hahahaha kumbe tuko weng mkuu.. hii style nmeanza kuitumia toka kpnd iko nabarehee..nkmsomaga Dem kaanza nyodo namuwai kumuacha ili asiniletee uchoko moyoniMi nikionaga DEM anataka kuniletea maumivu NYODO nini.. Namuwahi, kabla ya kuniumiza tuu namlia timing....
Namgonga nambanjua nampiga chini kibabe kisha nasepa mbele.....
Namuacha ana galagala....
Hii technique nimekua nikiitumia cku zote, nawashauri mazee nanyie mtumie....
Hutoumia kamwe...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Aisee hiyo teknik ni safi sanaaaMi nikionaga DEM anataka kuniletea maumivu NYODO nini.. Namuwahi, kabla ya kuniumiza tuu namlia timing....
Namgonga nambanjua nampiga chini kibabe kisha nasepa mbele.....
Namuacha ana galagala....
Hii technique nimekua nikiitumia cku zote, nawashauri mazee nanyie mtumie....
Hutoumia kamwe...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
hahhahha,wacha wajeUnapovunjwa moyo wako na mpenzi wako, pamoja
na huzuni zote, ni muhimu kukumbuka kwamba
huyo ni binadamu mwenzako na sio Mungu kiasi
kwamba useme eti bila yeye hauwezi kuishi. Kwani
pumzi unayovuta kakupa yeye? Asikuzengue! Kama
hataki aende zake, nchi ina watu milioni 50 akuringie kwa mujibu wa katiba gani?
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Ivi Wale washkaji wa Musoma Pia huwa wanabembeleza?
hahahhah,wamekusikiaaaWaje na marafiki zao
MrproblemsolvedUnapovunjwa moyo wako na mpenzi wako, pamoja
na huzuni zote, ni muhimu kukumbuka kwamba
huyo ni binadamu mwenzako na sio Mungu kiasi
kwamba useme eti bila yeye hauwezi kuishi. Kwani
pumzi unayovuta kakupa yeye? Asikuzengue! Kama
hataki aende zake, nchi ina watu milioni 50 akuringie kwa mujibu wa katiba gani?