STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Unapovunjwa moyo wako na mpenzi wako, pamoja
na huzuni zote, ni muhimu kukumbuka kwamba
huyo ni binadamu mwenzako na sio Mungu kiasi
kwamba useme eti bila yeye hauwezi kuishi. Kwani
pumzi unayovuta kakupa yeye? Asikuzengue! Kama
hataki aende zake, nchi ina watu milioni 50 akuringie kwa mujibu wa katiba gani?
na huzuni zote, ni muhimu kukumbuka kwamba
huyo ni binadamu mwenzako na sio Mungu kiasi
kwamba useme eti bila yeye hauwezi kuishi. Kwani
pumzi unayovuta kakupa yeye? Asikuzengue! Kama
hataki aende zake, nchi ina watu milioni 50 akuringie kwa mujibu wa katiba gani?