Yaani Balile wa TEF ni wa kumnanga hivi Hayati Magufuli aliyekusaidia mengi kwa kuendekeza njaa zako?

Yaani Balile wa TEF ni wa kumnanga hivi Hayati Magufuli aliyekusaidia mengi kwa kuendekeza njaa zako?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kwa miaka hii Mitatu Rais Samia ameweza Kukusanya Shilingi Trilioni Mbili tena bila ya Kuzikwapua kwa Watu katika Akaunti zao na kutumia Udikteta kuzipata," amesema Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri (TEF) Deodatus Balile alipozungumza na Amka na BBC leo Asubuhi.

Balile wewe leo ni wa Kumfumbia hivi Mafumbo Hayati Magufuli ambaye wakati wa Utawala wake wewe ndiyo ulifaidika naye kwa mengi (achilia mbali kuwasaliti wenzako) kwa Njaa na Unafiki unaokusumbua?

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE sitomuamini tena Mwanadamu bali ni bora niwaamini tu Paka na Mbwa ninaowafuga kwakuwa ndiyo wana Upendo, Uaminifu na Urafiki wa kweli kabisa na Mimi.

Nimeumia na Nimesikitika mno tu!
 
Watanzania wengi ni Wanafiq sana. Si waaminifu hata kidogo. Hawajielewi, hawana akili, wanaishi kikupe kupe. Kunyonya damu wengine. Ni machawa. Usije mwamini Mtanzania. Ni MNAFIQ SANA. SIPENDI HATA KUWA NAO KWA UKARIBU SABABU YA UNAFIQ WAO.
 
Watanzania wengi ni Wanafiq sana. Si waaminifu hata kidogo. Hawajielewi, hawana akili, wanaishi kikupe kupe. Kunyonya damu wengine. Ni machawa. Usije mwamini Mtanzania. Ni MNAFIQ SANA. SIPENDI HATA KUWA NAO KWA UKARIBU SABABU YA UNAFIQ WAO.
Wakiongozwa na Deodatus Balile wa TEF.
 
Jinga
"Kwa miaka hii Mitatu Rais Samia ameweza Kukusanya Shilingi Trilioni Mbili tena bila ya Kuzikwapua kwa Watu katika Akaunti zao na kutumia Udikteta kuzipata," amesema Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri (TEF) Deodatus Balile alipozungumza na Amka na BBC leo Asubuhi.

Balile wewe leo ni wa Kumfumbia hivi Mafumbo Hayati Magufuli ambaye wakati wa Utawala wake wewe ndiyo ulifaidika naye kwa mengi (achilia mbali kuwasaliti wenzako) kwa Njaa na Unafiki unaokusumbua?

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE sitomuamini tena Mwanadamu bali ni bora niwaamini tu Paka na Mbwa ninaowafuga kwakuwa ndiyo wana Upendo, Uaminifu na Urafiki wa kweli kabisa na Mimi.

Nimeumia na Nimesikitika mno tu!
jinga km wewe nani wa kukusikiliza, kamfuate huyo mshamba wako aliyetuharibia nchi yetu. Balile amesema ukweli mtupu, ulitaka aseme uwongo? We ni bwege kweli
 
Watanzania wengi ni Wanafiq sana. Si waaminifu hata kidogo. Hawajielewi, hawana akili, wanaishi kikupe kupe. Kunyonya damu wengine. Ni machawa. Usije mwamini Mtanzania. Ni MNAFIQ SANA. SIPENDI HATA KUWA NAO KWA UKARIBU SABABU YA UNAFIQ WAO.
Libwege km wewe kuna mtu anataka kukaa nalo karibu?
 
Back
Top Bottom