Yaani from nowhere anatuma hii picha na kuuliza "Unaiweza Hii Style?"

Yaani from nowhere anatuma hii picha na kuuliza "Unaiweza Hii Style?"

Umesema si kila mwanamke ni wa type hizo...sasa basi tunaomba muandike type zenu usoni ili tukiona tunajua type zenu..

Wewe dada ni kati ya wa dada wasiojitambua na wenye kujidai. Kujiona uko daraja tofauti na wengine. Sasa wewe unataka usitongozwe kwani wewe nani? Vitu kama hivyo ni vya kawaida tu...wenzako huwa wana kaa kimya..halafu tunajiongeza wenyewe.
Nilivyomuelewa mtoa mada sio kapinga kutongozwa isipokua njia aliyotumia huyo mtu ndo imemkera. Imagin mtu huna mazoea naye ya kimapenzi afu akutumie picha na ujumbe kama huo ni ukosefu wa kinidhamu. Yeye angemtumia tu hela, atume tena, atume tena na tena sidhani km huyu mdada ange kuja hapa kulalamika
 
Sasa mbona unatutukana sisi kama vile tumekutumia pamoja na huyo jamaa yako?

huu mchezo hauhitaji hasira bana wewe dili na huyo jamaa yako isitujumuishe sisi

Halafu nawewe umerudia upumbavu huo huo kwa kututumia huku jf from no where kwahyo nawewe ni MPUMBAVU sasa
 
Kina mama mbona huwaga kimya sana kuchangia kwenye haya mabandiko?
Ama tunavyochangia ndiyo starehe zenu?
 
Wanazengo wamemgeukia mtoa mada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shem hii vipi....unaiweza?[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190726-WA0032.jpeg
 
Kosa pekee alilofanya "huyo kaka" ni kukutumia picha ya namna hiyo ilhali hamna mahusiano.
Ungempatia Sana kama ungemjibu kuwa unaiweza. Angeishiwa pozi kisha ungempa za uso.
Anatamani kuwa nawe faraghani ila amejaa woga.
Pole kwa yaliyokukuta maana kama una mtu wako angehisi una mahusiano na huyo jamaa.
Vijana wa kiume kuweni na nidhamu.
 
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
Pole sana kwa yaliyokuteokea. By the way, ni style gani unaipenda we Ma Mshuza?
 
Dah!!..nimejaribu kuigeuza simu ili nimuone kwa nyuma huyo mdada maana si kwa kukunjwa huko.
 
toka lini mambo ya kugegedana yakawa yakipumbafu....ndio starehe ya dunia. alafu kulikuwa hamna ulazima wakuleta hapa kama wewe unaona hayo mambo ni ya kipumbafu
 
Ingenoga sana kama kama ungeituma ikiwa imegeuka kichwa kiwe huko nyuma na nyuma kuwe mbele
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
 
Hiyo ni test, ungelegea tuu ungeliwa. [emoji23], wanaume tupo hivyo. Tunatest kisha tunasubiri matokeo. Ila ungeonyesha kufurahia picha ama kutaka kujua zaidi, mai furendiii kingekukuta kitu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuja kumuanika huku JF na picha aliyokutumia sio busara,vinginevyo labda una kiu ya kuanzisha Uzi...
 
Back
Top Bottom