Ukande unga mpaka uwache kulia "pichuuuuuu pichuuuuu", endelea kuukanda mpaka uwe haushikani na unapokandia. Ukiubeba kabla kukata madonge unanyanyuka wote mzima mzima.
Jaribu, ulete majibu.
Nimeipenda hii! Mpaka iache kulia pichuuuu pichuuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukande unga mpaka uwache kulia "pichuuuuuu pichuuuuu", endelea kuukanda mpaka uwe haushikani na unapokandia. Ukiubeba kabla kukata madonge unanyanyuka wote mzima mzima.
Jaribu, ulete majibu.
Nasubiria sikati tamaa unga nipime nusu kile kikombe kikubwa cha plastiki afu utanipa vipimo vyake.
Lol nlijishauaje sasa shem wako yupo kitandani anafanya kazi zake mie namuambia "hny am cooking for you the best chapati in the world" lol majanga plus plus nataka wikiendi nizirudie tena mpaka zieleweke