Yaani inashangaza sana!

Yaani inashangaza sana!

Killa Cam

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
2,264
Reaction score
6,679
No,nawaombea kila siku wanaadamu wote pasipo ubaguzi,ivo ilikuwa ni siku na muda wa ibada mkuu
Unajua sisi binaadamu shukran zero kabisa kwa anae tufanyia wema. Wengi wetu umaskini unafanya kupunguza imani, sasa unajiona upo kwenye shida tokea mtoto mpaka mtu mzima shida inazidi unaomba mpaka koo inaota fangasi. Hakuna nafuu unamuona Ally Mpemba anakula batwaa na ka Range aahh mamaee🥲 mganga wa chumbe upo wapi nina sister huku kaleta uzi nataka nimfanye kama Maya nile batwaa na mimi yakheee🤣🤣🤣
 
Unajua sisi binaadamu shukran zero kabisa kwa anae tufanyia wema. Wengi wetu umaskini unafanya kupunguza imani, sasa unajiona upo kwenye shida tokea mtoto mpaka mtu mzima shida inazidi unaomba mpaka koo inaota fangusi. Hakuna nafuu unamuona Ally Mpemba anakula batwaa na ka Range aahh mamaee🥲 mganga wa chumbe upo wapi nina sister huku kaleta uzi nataka nimfanye kama Maya nile batwaa na mimi yakheee🤣🤣🤣
Yaan mambo ni shaghalabaghala....waganga wamegeuka mungu.....kuna watu hata ajikwaa kidogo tu ...tayari kwa mganga😳🚶🚶
 
Yaan mambo ni shaghalabaghala....waganga wamegeuka mungu.....kuna watu hata ajikwaa kidogo tu ...tayari kwa mganga😳🚶🚶
Kama shetani kamkataa babu yetu Adam hivi kweli atatukubali sisi kwa kutufanyia wema? Ndio maana waganga wanataka wateja wao wafanye kufuru tu.
 
Saana,yaan zile starehe kupitiliza huwalevya

Dah nilishangaa juzi nimeenda mlimani city kununu vitu vya mtoto nakutana na mtu kaenda pale kununua mayai tu af anaaendesha v8 plate no E nikasema haya ngoja nikabebe vitu vyangu niiete huba au nipande daladala
 
Dah nilishangaa juzi nimeenda mlimani city kununu vitu vya mtoto nakutana na mtu kaenda pale kununua mayai tu af anaaendesha v8 plate no E nikasema haya ngoja nikabebe vitu vyangu niiete huba au nipande daladala
😂😂😂😂😂🙌
 
Watu utawaweza wakiamua jambo
Nilichoka sana nikataman kukaa af ni mdada nikasema au nijitoe ufahamu niombe namba nikakumbuka nitapa aibu hapa kwenye alaiki ya watu nikakausha zangu uku naumia
 
Back
Top Bottom