Unajua sisi binaadamu shukran zero kabisa kwa anae tufanyia wema. Wengi wetu umaskini unafanya kupunguza imani, sasa unajiona upo kwenye shida tokea mtoto mpaka mtu mzima shida inazidi unaomba mpaka koo inaota fangasi. Hakuna nafuu unamuona Ally Mpemba anakula batwaa na ka Range aahh mamaee๐ฅฒ mganga wa chumbe upo wapi nina sister huku kaleta uzi nataka nimfanye kama Maya nile batwaa na mimi yakheee๐คฃ๐คฃ๐คฃNo,nawaombea kila siku wanaadamu wote pasipo ubaguzi,ivo ilikuwa ni siku na muda wa ibada mkuu
AmiinNaam.
Haya wakati mwingine tena.Amiin
Huh, hongera unakumbuka maombi.Nilikuwa kwenye maombi ya usiku tulivu
Yaan mambo ni shaghalabaghala....waganga wamegeuka mungu.....kuna watu hata ajikwaa kidogo tu ...tayari kwa mganga๐ณ๐ถ๐ถUnajua sisi binaadamu shukran zero kabisa kwa anae tufanyia wema. Wengi wetu umaskini unafanya kupunguza imani, sasa unajiona upo kwenye shida tokea mtoto mpaka mtu mzima shida inazidi unaomba mpaka koo inaota fangusi. Hakuna nafuu unamuona Ally Mpemba anakula batwaa na ka Range aahh mamaee๐ฅฒ mganga wa chumbe upo wapi nina sister huku kaleta uzi nataka nimfanye kama Maya nile batwaa na mimi yakheee๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Yeah,japo si marazote...ni sometimesHuh, hongera unakumbuka maombi.
Saana,yaan zile starehe kupitiliza huwalevyaDuh nikweli watu wako na pesa huwa wana kiburi sana
Barikiwa sana kwa kampani yakoHaya wakati mwingine tena.
Tuko pamoja.Barikiwa sana kwa kampani yako
Kama shetani kamkataa babu yetu Adam hivi kweli atatukubali sisi kwa kutufanyia wema? Ndio maana waganga wanataka wateja wao wafanye kufuru tu.Yaan mambo ni shaghalabaghala....waganga wamegeuka mungu.....kuna watu hata ajikwaa kidogo tu ...tayari kwa mganga๐ณ๐ถ๐ถ
๐๐๐waganga ndo wanga wenyewe...tukubali tukataeKama shetani kamkataa babu yetu Adam hivi kweli atatukubali sisi kwa kutufanyia wema? Ndio maana waganga wanataka wateja wao wafanye kufuru tu.
LazimaVipi tena to yeye jini mahaba kavamia kitanda๐คฃ๐คฃ
Uliwahi kufa na kujua kwamba kifo ndio mwanzo wa maisha magumu?Hakuna kupumzika mkuu, ukienda vibaya ndio mwanzo wa maisha magumu kuliko yote.
Saana,yaan zile starehe kupitiliza huwalevya
๐๐๐๐๐๐Dah nilishangaa juzi nimeenda mlimani city kununu vitu vya mtoto nakutana na mtu kaenda pale kununua mayai tu af anaaendesha v8 plate no E nikasema haya ngoja nikabebe vitu vyangu niiete huba au nipande daladala
Embu vuta picha mayai kweli? Bora ata mimi nilifwata vitu vya mtoto pale kuepuka fake huku kwetu๐๐๐๐๐๐
Watu utawaweza wakiamua jamboEmbu vuta picha mayai kweli? Bora ata mimi nilifwata vitu vya mtoto pale kuepuka fake huku kwetu
Nilichoka sana nikataman kukaa af ni mdada nikasema au nijitoe ufahamu niombe namba nikakumbuka nitapa aibu hapa kwenye alaiki ya watu nikakausha zangu uku naumiaWatu utawaweza wakiamua jambo
Leo sina nguvu za kubishana mkuu, kama kila kitu ni mpaka ufanye kwanza ndio ukijue, basi subiri uvune kwanza ndio ulime.Uliwahi kufa na kujua kwamba kifo ndio mwanzo wa maisha magumu?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app