Yaani kutusubirisha kote huko mnakuja kutoa thank you kwa mchezaji ambae msimu umeisha akiwa kashaondoka clubuni?

Yaani kutusubirisha kote huko mnakuja kutoa thank you kwa mchezaji ambae msimu umeisha akiwa kashaondoka clubuni?

Hivi kuna watu bado wanafatilia maigizo ya mwaka robo SC.Biashara ya kuambiwa sijuwi muda gani tuna jambo letu limepitwa na wakati.
 
Wanazingua kila siku tusubiri mtu mmoja moja wanatafuta attention ja kijinga tu.
 
Back
Top Bottom