Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quality yake sio ya kucheza man utd, ni mzito na anapoteza sana pasi kwenye maeneo hatariI nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa
View attachment 2993870
Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
Manjestaa ina quality Gani Sasa hivi?Quality yake sio ya kucheza man utd, ni mzito na anapoteza sana pasi kwenye maeneo hatari
Timu inahitaji marekebisho makubwa sana na uyo amrabat ni mmoja ya wanaotakiwa kuondoka, hawa wengine wakina magwaya kuwatoa inatakiwa busara kidogo kwa sababu bado wana mikataba kwaiyo timu itaingia hasara ya kulipa gharama za kuvunja mikataba suluhisho ni kuwauza zikitokea timu zinazowahitaji ila hawa ambao wapo kwa mkopo au mikataba yao imeisha mfano amrabat, varane, evans n.k wanaweza kuondoka tuManjestaa ina quality Gani Sasa hivi?
Sure mzee jamaa quality ndogo sana yule na kuna takataka nyingi sana pale za kuondoa pale antony, magwaya, evans, varane, mount, amad diallo, erriksen, martial wote ni wa kusepa ,akipatika 6 mzuri basi casemiro nae anaweza ruhusiwa tu kuondoka, rashford anatakiwa kuamka msimu huu amekua ovyo sana. Kwa kuanzia tunahitaji beki wa kati wa kuzima na bucha kule nyuma, namba 6 na 8 visheti na winga mmoja anaetumia left foot wa kushambulia kutoka upande wa kulia mfano marlhez au yule olise wa crystle palace halafu maboresho mengine yataendelea kuanzia hapoJapo manu kwa sasa ni tia maji tia maji ila amrabat sio kiwango cha manu, hata kusajiliwa kwake nilishangaa sana
Quality yake sio ya kucheza man utd, ni mzito na anapoteza sana pasi kwenye maeneo hatari
Amrabat yupo slow sana kimwili na kufanya maamuzi ya haraka. Man u majanga but amrabat he is below standardtatizo sio yeye, tatizo ni Man Utd, anakamata mpira halafu unakuta hakuna hata mtu anaekuja kuomba mpira utegemee nini? Hata Xavi angelishinda kucheza Man Utd hii.
Amrabat yupo slow sana kimwili na kufanya maamuzi ya haraka. Man u majanga but amrabat he is below standard
kwa sasa man u wachezaji wengi ni wenye uwezo wa kawaida sana, kuwa na wachezaji wengi wa kawaida sio uhalali wa kufumbia macho ubovu wa amrabat. Amrabat hayupo peke yake wapo below standards wengine pia wanatakiwa kuondoka. Huyo amrabat kumtoa ni rahisi kwa sababu yupo kwa mkopo ila wengine mfano magwaya, martial, antony n.k kuwatoa ni mchakato kwa sababu wana mikatabaikiwa amrabt ni below standard, standard ya Man Utd ni nani? Casemiro? au Mount?
Hao wote unaowaita takataka walienda Man u wakiwa na viwango vya juu , timu mbovu man u imewaharibu , shida ya Man u mbona ipo wazi , ni uongozi wa juu upo reluctant na mambo ya Mpira , yaani hawana habari, zigo ameachiwa manager , inakuwa kaz ngumu Sana , .... Uongozi wa juu unatakiwa uwe active Sana kufatilia nini kinafanyika uwanjani , hvyo ndo timu kubwa zinafanya .....Sure mzee jamaa quality ndogo sana yule na kuna takataka nyingi sana pale za kuondoa pale antony, magwaya, evans, varane, mount, amad diallo, erriksen, martial wote ni wa kusepa ,akipatika 6 mzuri basi casemiro nae anaweza ruhusiwa tu kuondoka, rashford anatakiwa kuamka msimu huu amekua ovyo sana. Kwa kuanzia tunahitaji beki wa kati wa kuzima na bucha kule nyuma, namba 6 na 8 visheti na winga mmoja anaetumia left foot wa kushambulia kutoka upande wa kulia mfano marlhez au yule olise wa crystle palace halafu maboresho mengine yataendelea kuanzia hapo
I nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa
View attachment 2993870
Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
Hapa kuwa Wazi useme kilichokusukuma kumtetea Amrabat. Vinginevyo Man U haiwezi kuwa na mchezaji ambaye hawezi kupata namba Aston villa.I nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa
View attachment 2993870
Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
Sio kweli labda martial na diallo walisajiriwa wakiwa wadogo kwaiyo tuliangalia potential zaidi ila hao wengine wote ni usajiri mbovu. Erriksen na evans tumesajiri umri ushaenda, varane ni injury prone tangu yupo madrid, uyo antony tangu ajax mpira wake ndio huu huu tu anaonekana yupo bize uwanjani lakini hakuna cha maana anachofanya, mount kama ilivyo wachezaji wa uingereza wakiwa wanaibuka wanapambwa sana kuliko uwezo wao halisi baada ya muda inaonkeana hawana kitu. Tangu babu ameondoka recruitment ya wachezaji man u imekua mbovu almost wote waliosajiriwa ni below standardHao wote unaowaita takataka walienda Man u wakiwa na viwango vya juu , timu mbovu man u imewaharibu , shida ya Man u mbona ipo wazi , ni uongozi wa juu upo reluctant na mambo ya Mpira , yaani hawana habari, zigo ameachiwa manager , inakuwa kaz ngumu Sana , .... Uongozi wa juu unatakiwa uwe active Sana kufatilia nini kinafanyika uwanjani , hvyo ndo timu kubwa zinafanya .....
Leo hii wewe hapo fungua kampuni alaf umpe manager kila kitu wewe ukae pembeni hufatilii uone kama kampuni itaenda .... Uwanja mvua ikinyesha unajaza maji hapo kuna timu sasa ,