Yaani mpunga na mahindi yalivyokubali shambani, mavuno yatakuwa makubwa, halafu mtu aniambie niandamane, sijui katiba mpya, siingii mtego huo

Yaani mpunga na mahindi yalivyokubali shambani, mavuno yatakuwa makubwa, halafu mtu aniambie niandamane, sijui katiba mpya, siingii mtego huo

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Miki hapa nimemaliza kati back ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani.
[/QUOTE
Utaliwa Wali mwakani 🐼
Utaliwa Wali mwakani
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
Utapatwa na kitambi ugali, Binadamu mwenye maisha ya kueleweka anatakiwa kula nyama, maziwa, kuku, samaki, mayai, maharage na mahindi mabichi kwa wingi/(Protein rich diet).
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
Ukipata muda ingia YouTube au boom play or elsewhere

Tafuta huu wimbo usikilise then rudi tuje ku argue..

MAALIMU NASH _ MITIHANI
 
Masikini siku zote sehemu kubwa ya akili yake huwa inawaza zaidi chakula na ngono. Ni mara chache sana kumkuta anawazia maendeleo.
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
Ukitaka kuuza utuambie umeuza shingap
 
Lumumba buku saba mna vituko.
images - 2024-12-18T183711.965.jpeg


Kwahiyo maandamano yote duniani yanafanywa na wenye njaa?
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
Akili yako IMO tumboni, nakusikitikoa
 
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?

Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali mezani. Imejaa kugawana madaraka tu, na nikiangalia sioni kama ntapata cheo chochote
Kwani nani kakuomba kuondamana? Wewe kula kulala unaongojea mumeo alete chakula upike mle ndiyo maisha yako yanawaza kula na kuliwa tu.
 
Back
Top Bottom