Yaani Mtu anajiita Msomi halafu inapita Mwezi au Miezi hajafungua hata Email yake ajue kuna nini, kwanini Dotto Magari 'asitudharau' tu na Kumnunia?

Yaani Mtu anajiita Msomi halafu inapita Mwezi au Miezi hajafungua hata Email yake ajue kuna nini, kwanini Dotto Magari 'asitudharau' tu na Kumnunia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wasomi wengi sana tunakosa Fursa au Mawasiliano ya maana kwakuwa wengi Wetu hatuna muda wa hata tu Kuangalia / Kuchungulia kuna nini katika Emails zetu ( Inbox ), likiwa ni Suala muhimu sana Kimawasiliano hasa kwa Zama hizi. Wasomi wengi hizi Emails Addresses tumeziweka tu kama Pambo, ila huwa hatuzitumii kama ambavyo naona Waliotutangulia Kimaendeleo na hata kwa Akili wanavyozitumia.
 
Screenshot_20240822-163507.png
 
Inategemea na nature ya kazi ya mtu

Kuna aina ya kazi hauitaji kabisa email na kuna aina ya kazi email ni muhimu kuliko maelezo

BTW siku hizo Whatsap imekua mbadala wa email na kimsingi inafanya vizuri zaidi kuliko email kwenye swala zima la mawasiliano na kutumiana doc na ndio maana email watu wengi wanaipotezea
 
l
Inategemea na nature ya kazi ya mtu

Kuna aina ya kazi hauitaji kabisa email na kuna aina ya kazi email ni muhimu kuliko maelezo

BTW siku hizo Whatsap imekua mbadala wa email na kimsingi inafanya vizuri zaidi kuliko email kwenye swala zima la mawasiliano na ndio maana email watu wengi wanaipotezea
E-Mail ni zaidi ya watsap, usitetee Uzembe.
 
Tunawaandama sana wasomi, kabla hatujaanza kuwalaumu wasomi tuangalie kwanza mfumo wa elimu unaozalisha hao wasomi na mfumo wetu mzima wa kuwaandaa hawa watalaamu.

Bado mfumo wetu wa elimu niwakizamani na unazarisha wasomi butu ambao hawajui nini cha kufanya baada ya shule.
 
l

E-Mail ni zaidi ya watsap, usitetee Uzembe.
Mkuu unge dadafu hoja yako wakati huo huo ukizingatia mazingira ya wasomi wengi wanaotumika serikalini

Watumishi wengi serikalini email ni kwa aajili ya matumizi yao binafsi
Hadi leo hii doc za kiserikali bado zinakwenda manually kwa dispatch

Unaweza usikubaliane na mimi lakini huwezi kupinga ukweli kwamba Whatsap imekuja kuipa changamoto Email kwenye mawasiliano ya kiofisi haswa haswa kwa casual users kama watumishi wa kibongo
 
Wasomi wengi sana tunakosa Fursa au Mawasiliano ya maana kwakuwa wengi Wetu hatuna muda wa hata tu Kuangalia / Kuchungulia kuna nini katika Emails zetu ( Inbox ), likiwa ni Suala muhimu sana Kimawasiliano hasa kwa Zama hizi. Wasomi wengi hizi Emails Addresses tumeziweka tu kama Pambo, ila huwa hatuzitumii kama ambavyo naona Waliotutangulia Kimaendeleo na hata kwa Akili wanavyozitumia.
Tena emails zenyewe link ipo mpaka simu za kichina.
 
Mwingine hata Jamii forums haijui.

Tunailaumu ccm lakini shida iko kwetu kwanza kabla hata hiyo ccm
Wasomi wengi sana tunakosa Fursa au Mawasiliano ya maana kwakuwa wengi Wetu hatuna muda wa hata tu Kuangalia / Kuchungulia kuna nini katika Emails zetu ( Inbox ), likiwa ni Suala muhimu sana Kimawasiliano hasa kwa Zama hizi. Wasomi wengi hizi Emails Addresses tumeziweka tu kama Pambo, ila huwa hatuzitumii kama ambavyo naona Waliotutangulia Kimaendeleo na hata kwa Akili wanavyozitumia.
 
Email zimebaki na Matumizi yakudowloadia App Playstore.

Wasomi wengi sio Wajanja..!!
Wabongo wanawasiliana zaidi wka sms, simu na whatsapp so kama mtu kazi zake anadeal na wabongo hapa hapa email kwake inaweza isiwe na maana kuifungua. hivyo mimi nawaelewa maana huwezi fungua email kama hutarajii kupokea chochote ni sawa na kusubiri train kituo cha daladala makumbusho
 
Nature gani? Msomi huhitaji nature kutumia Email.
Email kua nayo ni muhimu ila hiyo kuiangalia mara kwa mara ndo inahitajika kujua unafanya nini??

Huna utegemeacho kupata kupitia hiyo email zaidi ya kuhifadhi taarifa zako muhimu, unaicheki mara kwa mara ili uone nini hasa??
 
Wasomi wengi sana tunakosa Fursa au Mawasiliano ya maana kwakuwa wengi Wetu hatuna muda wa hata tu Kuangalia / Kuchungulia kuna nini katika Emails zetu ( Inbox ), likiwa ni Suala muhimu sana Kimawasiliano hasa kwa Zama hizi. Wasomi wengi hizi Emails Addresses tumeziweka tu kama Pambo, ila huwa hatuzitumii kama ambavyo naona Waliotutangulia Kimaendeleo na hata kwa Akili wanavyozitumia.
Inawezekana hii kweli rafiki? Mbona naona wasomi wako active sana kwenye hayo mambo
 
Mwingine hata Jamii forums haijui.

Tunailaumu ccm lakini shida iko kwetu kwanza kabla hata hiyo ccm
Huwa inanishangaza kuona msomi hatumii jamiiforum yupo zake bize na kufuatilia Leo mond amepost Nini wangeni wanashindwa YouTube kwenye channel za udaku lakini yote yote kupanga ni kuchagua
 
Back
Top Bottom