Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmm sawa baba ila tambua sasa hivi ma omba omba wameongezeka waTz vyuma vimekaza ila wanahisi vyuma vyako vimerelax tu muda wote.Tatizo ukijifanya wewe ni mtoaji sana wanaambiana huku huyu mwenye jibu la sina anabaki bila kusumbuliwa[emoji3][emoji3][emoji3]. Nashukuru. Wangu ni muelewa. Nikimwambia ntakupa anaelewa. Hapa nilipo Nina kiporo. Kesho natakiwa nikilipe. Ntampa.
Ukiwa kwenye mahusiano. Lazma uwe tayari kwa yote.Mmmm sawa baba ila tambua sasa hivi ma omba omba wameongezeka waTz vyuma vimekaza ila wanahisi vyuma vyako vimerelax tu muda wote.Tatizo ukijifanya wewe ni mtoaji sana wanaambiana huku huyu mwenye jibu la sina anabaki bila kusumbuliwa
Hujaifahamu akili ya mwanamke mdogo wangu...ndo vijana wengi wa kibongo huwa tunakosea hapo,wewe kiyu kama huna mwambie mtu aelewe kuliko kumpa matumainim hewa.
Daah....wanaume wote wangekuwa kama wewe, wanawake tungeinjoi mnoo!Ukiwa kwenye mahusiano. Lazma uwe tayari kwa yote.
Asiponiomba mimi Atamuomba Nani?
Hakuna kitu sikipendi kama hali ya mahusiano ya kibongo yaani mwanamke anakuwa receiver na mwanaume anakuwa donor/giverUkiwa kwenye mahusiano. Lazma uwe tayari kwa yote.
Asiponiomba mimi Atamuomba Nani?
Acha hizo wewe, kwahiyo wadada ni "wagogo"[emoji23]Ila kweli asee,halaf hiv kwanin wanapenda sana kuomba hela.?..tunasemaga wagogo ni omba omba ila wadada ni omba omba namba 1 duniani.
Mahusiano gharama mkuu.Hakuna kitu sikipendi kama hali ya mahusiano ya kibongo yaani mwanamke anakuwa receiver na mwanaume anakuwa donor/giver
Mtu anafanya kazi kabisa hela zake hazikuhusu zangu zetu woteMahusiano gharama mkuu.
Ukishindwa kabisa bora uwe single.au uwe wa nipe nikupe.
Najua hela inauma kutoa. Lakini utafanyaje. Na umemfuata mwenyewe.?
Na ukizingatia bado yupo home.
Tehtehtehteh,Acha hizo wewe, kwahiyo wadada ni "wagogo"[emoji23]
Kwani ww unamuomba nani?!!!Ukiwa kwenye mahusiano. Lazma uwe tayari kwa yote.
Asiponiomba mimi Atamuomba Nani?
Ukute umeombwa Mwekundu tu au Faru John mmoja, ndio umekimbilia kufungua thread asubuhi asubuhi Hivi, twende jumuiya kwanza
Na ya mwanamke ni nn?![]()
KUTAFUTA NI KAZI YA MWANAUME.
Kazi Yao kupewaNa ya mwanamke ni nn?