Yaani tunamaliza viti tu ndani.....

Yaani tunamaliza viti tu ndani.....

Sajenti

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
3,651
Reaction score
413
Kuna siku moja nilimuomba honey wangu angalau tuhamishie "game" kwenye kakochi ketu chumbani. Lengo ni kujaribu kutafuta radha kutoka kiwanja tofauti na kile tulichozoea kila siku "kitanda chetu". Kwa kweli zoezi lilifana mpaka mamaaa akauliza nilipojifunzia hiyo kitu.

Sasa tatizo siku hizi hata kitanda mwenzangu amekitoa kwenye mahesabu na hasa linapokuja suala la "malavidavi" ni kwenye kiti tu mkienda kitandani ni kulala tu hata kama nataka kupambazua inabidi tuhame.

Tumeshavunja kicho kiti mara 3 mshikaji ukimshauri tofauti anakuwa mbogo ile mbaya kisa eti hapo ndipo yeye mzuka wake ninapoupandisha na kuushusha...Dah! mpaka naogopa kubuni mambo mengine maana huenda akanogewa ikawa tabu!!!!!!.....
 
sasa sajenti tatizo lako ni nini hasa?

hutaki afurahie tendo au? kama hapo ndo panapomfurahisha na wewe hapakuchukizi kwa nini msiendelee nako tu

na hata kama mkibuni sehemu nyengine na nyote mkafurahia tatizo liko wapi?
 
Buni!! buni!!!sasa buni yakusimama atachoka unarudi karume!!
 
kuna siku moja nilimuomba honey wangu angalau tuhamishie "game" kwenye kakochi ketu chumbani. Lengo ni kujaribu kutafuta radha kutoka kiwanja tofauti na kile tulichozoea kila siku "kitanda chetu". Kwa kweli zoezi lilifana mpaka mamaaa akauliza nilipojifunzia hiyo kitu. Sasa tatizo siku hizi hata kitanda mwenzangu amekitoa kwenye mahesabu na hasa linapokuja suala la "malavidavi" ni kwenye kiti tu mkienda kitandani ni kulala tu hata kama nataka kupambazua inabidi tuhame. Tumeshavunja kicho kiti mara 3 mshikaji ukimshauri tofauti anakuwa mbogo ile mbaya kisa eti hapo ndipo yeye mzuka wake ninapoupandisha na kuushusha...dah! Mpaka naogopa kubuni mambo mengine maana huenda akanogewa ikawa tabu!!!!!!.....

hapo nilipo bold: Inaonekana unataka kubuni kitu kisicho sahihi ndo maana dhamira yako inakusuta. Ilipoamua kwenda kwenye kiti ilikuwa pouwa kwa kuwa ni kitu kizuri lkn sasa inaelekea unataka kumrusha ukuta. Kaka hiyoo si sahihi --- ushindwe na ulegeeee
 
hapo nilipo bold: Inaonekana unataka kubuni kitu kisicho sahihi ndo maana dhamira yako inakusuta. Ilipoamua kwenda kwenye kiti ilikuwa pouwa kwa kuwa ni kitu kizuri lkn sasa inaelekea unataka kumrusha ukuta. Kaka hiyoo si sahihi --- ushindwe na ulegeeee

Not bad!!! it is begin with you!!vunja duka silako kuliko waje wakuvunjie wevi!!:nod:
 
Kuna siku moja nilimuomba honey wangu angalau tuhamishie "game" kwenye kakochi ketu chumbani. Lengo ni kujaribu kutafuta radha kutoka kiwanja tofauti na kile tulichozoea kila siku "kitanda chetu". Kwa kweli zoezi lilifana mpaka mamaaa akauliza nilipojifunzia hiyo kitu. Sasa tatizo siku hizi hata kitanda mwenzangu amekitoa kwenye mahesabu na hasa linapokuja suala la "malavidavi" ni kwenye kiti tu mkienda kitandani ni kulala tu hata kama nataka kupambazua inabidi tuhame. Tumeshavunja kicho kiti mara 3 mshikaji ukimshauri tofauti anakuwa mbogo ile mbaya kisa eti hapo ndipo yeye mzuka wake ninapoupandisha na kuushusha...Dah! mpaka naogopa kubuni mambo mengine maana huenda akanogewa ikawa tabu!!!!!!.....
Endelea kula nae raha hapo hapo maana ndipo patamu kwake na ukihama tu ujue mali zako zitaanza liwa na mtu mwingine
 
Siku hizi kuna jamaa wanatengeneza viti vizuri sana vya chuma, fanya oda ya kimoja special kwa ajili ya kumkunia shemeji!
 
Kuna siku moja nilimuomba honey wangu angalau tuhamishie "game" kwenye kakochi ketu chumbani. Lengo ni kujaribu kutafuta radha kutoka kiwanja tofauti na kile tulichozoea kila siku "kitanda chetu". Kwa kweli zoezi lilifana mpaka mamaaa akauliza nilipojifunzia hiyo kitu. Sasa tatizo siku hizi hata kitanda mwenzangu amekitoa kwenye mahesabu na hasa linapokuja suala la "malavidavi" ni kwenye kiti tu mkienda kitandani ni kulala tu hata kama nataka kupambazua inabidi tuhame. Tumeshavunja kicho kiti mara 3 mshikaji ukimshauri tofauti anakuwa mbogo ile mbaya kisa eti hapo ndipo yeye mzuka wake ninapoupandisha na kuushusha...Dah! mpaka naogopa kubuni mambo mengine maana huenda akanogewa ikawa tabu!!!!!!.....
Hiyo staili gani mnatumia? Au ndo mshuko wenyewe!!
 
Kuna siku moja nilimuomba honey wangu angalau tuhamishie "game" kwenye kakochi ketu chumbani. Lengo ni kujaribu kutafuta radha kutoka kiwanja tofauti na kile tulichozoea kila siku "kitanda chetu". Kwa kweli zoezi lilifana mpaka mamaaa akauliza nilipojifunzia hiyo kitu. Sasa tatizo siku hizi hata kitanda mwenzangu amekitoa kwenye mahesabu na hasa linapokuja suala la "malavidavi" ni kwenye kiti tu mkienda kitandani ni kulala tu hata kama nataka kupambazua inabidi tuhame. Tumeshavunja kicho kiti mara 3 mshikaji ukimshauri tofauti anakuwa mbogo ile mbaya kisa eti hapo ndipo yeye mzuka wake ninapoupandisha na kuushusha...Dah! mpaka naogopa kubuni mambo mengine maana huenda akanogewa ikawa tabu!!!!!!.....

dah! sasa fundi huwa mnamwambiaje
 
Siku hizi kuna jamaa wanatengeneza viti vizuri sana vya chuma, fanya oda ya kimoja special kwa ajili ya kumkunia shemeji!
...Hilo behewa au kiti ambassodor?? ushauri mzuri nitaufanyia kazi sitaki nimkwaze mdau si unajua tena macho...........!!
 
siku nyingine muwahi sakafuni .... siku ingine mjaribishe na darini...!!:love:
 
haya mambo ni noma sana kuna watu uwa wanamalizana kwenye dressing table na kuishia kuvunja kioo
 
Mshauri mfanye Threesome. Unaweza kumkaribisha kwa mfano Mwafrika wa JF au Boflo au sijui Mrembo gani wa hapa JF? Simsemi maana madada zetu sasa hizi watanipandisha mzuka wao wa Matusi

Uamuzi ni WENU katika hiyo bahari ya mapenzi na onjaonja.

Nenda kwa Mafundi vyuma wakutengenezee kiti cha Chuma na Bati....... hamkivunji hata muwe wanne.

Ila msimalize nguvu zote kabla hamjaenda kujiandikisha na kumpigia kura Dr. Slaa.
 
Jaribu na juu ya meza..:nod::nod:
 
Watcha gonna do when they come for you?
 
Back
Top Bottom