[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli wanachekeshaga basi tu. Bora wabakie na vitambi vyao angalau wanaonekana.
Mkuu ili uwe mfupi unatakiwa uwe below how many cm ??Habari za wakati huu wadau wa Jamvi letu pendwa JF
Eeeh bhana niko kwenye mtoko wa pekee yangu huku
mkoani kwetu. Sasa hapa kuna ki pub kimoja hapa, sasa
kafika jamaa mmoja hivi kajaza hivho kifua ila ni mfupii ndio
nikawa najiuliza hivi watu wengine huwa hawajiukuzi kuwa
nitaonekana vipi nikiwa kibaunsa kifupi fupi kama Gogo
yaani. Ila pamoja na huyu fala mfupi kama Gogo alfu kajaza
kifua nimebahatika kupata mtoto kmmke siku ya leo imekaa
kama weekend kudadeki na DJ alivyo mchokozi anapoga
ngoma za maradavi basi mtoto jamani na ukijumlisha na Bia
inavyokolea namuoba mrembo mpaka sijui aje yaani jamani.
…!
Duniani fanya linalokupendeza as long as huvunji Sheria wala kumkera mwengine, ukiishi kwa kuangalia nani kasema nini basi utaishi kwa tabu sana ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Mkuu ili uwe mfupi unatakiwa uwe below how many cm ??
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Acha kufuatilia maisha ya watu ..Meseji yako inataka kutuambia nini labda ??
Nashukuru Mungu sio mrefu wala sio mfupi .. ila nashangaa unatoa wapi muda wa kukaa kujudge muonekano wa mwanaume mwenzio ( Bila shaka kuna walakini hapa) ..Naona kama ujumbe umekupenya vizuri
Hahahaha mtu mfupi center of gravity ipo chini hivyo wako stable kinyama, ukimshinda za kurusha akaamua kukung'ang'ania huchomoki. Dawa ni kupiga mateke ya mbalimbali ili kasisogee karibu.[emoji23][emoji23][emoji23]Classmate wangu wa primary 'Juma' alikuwa mfupi kama nyundo, halafu alikuwa anapiga chuma tangu primary.
Juzi kati nilikutana naye amekuwa mwanajeshi, aisee ni amejaza kifua hatari.. halafu anapiga mkono sio poa...
usikute ni yeye ameingia hapo pub halafu unaongea shit, atakunyonya mavi.. tahadhari nakupa
Nashukuru Mungu sio mrefu wala sio mfupi .. ila nashangaa unatoa wapi muda wa kukaa kujudge muonekano wa mwanaume mwenzio ( Bila shaka kuna walakini hapa) ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Hahahaha mtu mfupi center of gravity ipo chini hivyo wako stable kinyama, ukimshinda za kurusha akaamua kukung'ang'ania huchomoki. Dawa ni kupiga mateke ya mbalimbali ili kasisogee karibu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vile anapenda mwili wake ue. Ni sawa na wanaopenda vitambi, huwa nawashangaa sana lakini mwisho wa siku ni mapenzi ya mtu hajali nyie mnamuonaje.
Si ajabu kuna wanamsifia na kupata wa kimasihata kwa icho kifua chake unachokicheka.
Urefu au ufupi wa mtu,inategemea na amesimama na nani?
Pamoja mkuuDon't underestimate Short people in public (Anonymous)
Litakuwa gogo lile la buchani, huwa ni mafupi yaleUmekazia sana kuhusu gogo, unamaanisha gogo hili hili la kukata au la mti?