Yabainika, Tunda(Cleopatra) anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku .

Yabainika, Tunda(Cleopatra) anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku .

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Mrembo mwenye mvuto wa hajaa aliyebarikiwa kuanzia unyayo mpaka ncha ya nywele ambaye hachoshi kumtazama ajulikanaye kama Anna Patrick Kimaro (Tunda Saba Sita au Cleopatra) hatimaye wazee wa kunyapia nyapia wamegundua kuwa mrembo huyo anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku lakini hana show off za kijinga kama yule aliyejinadi anavaa mawigi ya milioni sita wakati hata sehemu aliyopanga thamani ya kodi yake haizidi elfu 70 kwa mwezi .

Pia inasemekana kuwa ana utajiri usio pungua bilioni 1.2 ila hapendi kuanika utajiri wake wazi kwa sababu maalumu.

Hata hivyo bado haijagundulika haraka haraka chanzo cha mapato yake hayo kulinganisha na umri wake ni nini?

Screenshot_2017-11-22-00-00-52.jpg


Screenshot_2017-11-22-00-02-28.jpg


Screenshot_2017-11-22-00-01-13.jpg
Tunda akiwa Gym kuweka sawa umbile lake matata ambalo linawatoa udenda wakware wengi hapa mjini .

Screenshot_2017-11-22-00-25-51.jpg
Tunda akiendelea kula good life ,mwenyewe anakwambia stress hazina nafasi maishani mwake.
 
Umemtaja ili aanze kukaziwa vyuma:! Mm ni mme ila kwa ushauri tu kama huna genge duka ama kama ww ni mke na sio level ya huyo manzi kaa kushoto lah napo ishauri serikari kua mamanzi wa level hiyo nao watumie EFDZ
 
Umemtaja ili aanze kukaziwa vyuma:! Mm ni mme ila kwa ushauri tu kama huna genge duka ama kama ww ni mke na sio level ya huyo manzi kaa kushoto lah napo ishauri serikari kua mamanzi wa level hiyo nao watumie EFDZ
Sijakuelewa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom