Yabainika, Tunda(Cleopatra) anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku .

Hance unamahaba na haka katoto maana...
Kweli biashara inalipa kwa siku anatumia zaidi ya laki 3 na nusu na utajiri huo wa bilion 1.2[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wajinga ndo waliwao na nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama anautajiri huo
 
Ila nikiona mwanaume anatoa habari za kimbeya za mwanamke nasikitika habari zenyewe za uongo sasa mtu chanzo chake hakijulikani mara tena anakipato zaidi ya bil1.2 kuwa serious mkuu.....
 
HAMNA KITU HAPO

WADADA WA MJINI WANAPENDA KUTAMBIANA SANA HUKO INSTA.
ILA MAISHA YAO HALIS NI TOFAUTI...
 
Huyu Tunda namuweka katikat ya visu kutoka Babati anafunikwa mbaaali kabsa.

Ni mzuri ila si wa kias icho ndugu, tembea ujionee Tz ina mengi yakupendeza achana na Insta.
Tupia picha ya huyo demu unayemuona mkali kuliko Tunda tulinganishe hapa
 
Ila nikiona mwanaume anatoa habari za kimbeya za mwanamke nasikitika habari zenyewe za uongo sasa mtu chanzo chake hakijulikani mara tena anakipato zaidi ya bil1.2 kuwa serious mkuu.....
Acha unafiki wewe

Mung'unya,ubuyu usepe .
 
ukimwi utaishaje kwa style hii ya kuliwa nyuma... namshukuru mzazi wangu kunipeleka shule kanisaidia kutotumia mwili kuishi
tena shukuru mnooo wanawake wasiokuwa na shughuli maalum kipindi hiki mbona kazi ni kupoteza rinda tu mpaka huruma
 
Saba 6 hajawahi kua na hela ya kumpeleka mtoto ISM namjua istoshe alipata hela kwa ray kishumbua mwaka 2003
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…