joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Umeona picha jinsi walivyopigwa risasi?, na bado mkiendelea kuleta wamasai toka Kenya, tutawachapa risasi, hatutaki mchezo sisi[emoji23][emoji23][emoji23]Hio Serekali yenu ya Waarabu ya Zanzibar inacheza na Maasai tutaikanyaga ikosekane.
Atleast someone that gets the point maasai ni maasai tu awe mkenya ama mtz,Hawana mipaka? ndo unadanganya masai wa Kenya hivyo sio? Hebu ambia waje Tanzania halafu tuone!
Hakuna Hilo huku Tanzania, kila mtu bila kujali kabila yake lazima afuate Sheria za Tanzania, otherwise you face punishmentAtleast someone that gets the point maasai ni maasai tu awe mkenya ama mtz,
Hata wajaluo wapo Kenya na Tanzania , nyie majirani tulieni haya ni mambo yetu wenyewe wa TanzaniaNgoja nikueleweshe kidogo masai ni kabila lilopo upande zote mbili kenya na Tanzania na hili kabila linaheshimu sana tamaduni zao na pia hawana mipaka masai wa kenya na watanzania wote ni wamoja nawamawasiliano ya karibu sana na wanajaliana sana hii itakupa mwanga kidogo kuwajua na jambo lolote liwatokee masai wakenya na waliopo Tanzania linawahusu.
Upuuzi mtupu
Akili za kipumbavu hizi., ujinga na ufukara hautawakoma kamwe., nikama wengi wenu mmelaniwa walai.,Sindano inawaingia mpaka akili zinaanza kuwakaa sawa.
Akili za kipumbavu hizi., ujinga na ufukara hautawakoma kamwe., nikama wengi wenu mmelaniwa walai.,
Soma mkenya mwenzako alivyowaumbua, ninyi ni wivu na roho mbaya ndio vinawasumbuaMmewakamata wangapi mkawapata na vitambulisho vya kudhibitisha kwamba ni wakenya? Maanake nchini Kenya kila raia huwa ana ID yake, ambayo huwa anakabidhiwa akifika miaka 18. Vitambulisho hivyo huwa vinaendana na vyeti vya kuzaliwa, vitambulisho vya wazazi na stakabadhi zingine muhimu za kudhibitisha kwamba ni wakenya.
Kama nyie bado mnatumia sijui alama ya ndui, kuwatambua raia wenu halali msituletee 'makasiriko' yenu.
Sijui kwanini mnaona sifa kujikanganya kanganya kila siku. Mara sijui hali ipo sawa Loliondo na hakuna aliyejeruhiwa. Mara tena kuna waliojeruhiwa, ila ni wakenya kisa wanapata matibabu nchini Kenya, bure kabisa. Acheni kujistukia stukia endeleeni tu na hivi vibwanga vyenu vya Bunge Comedy. Kwa raha zenu! [emoji3]
Sawa, lakini lazima waheshimu mipaka. Tanzania sio Kenya, na Kenya sio Tanzania.Ngoja nikueleweshe kidogo masai ni kabila lilopo upande zote mbili kenya na Tanzania na hili kabila linaheshimu sana tamaduni zao na pia hawana mipaka masai wa kenya na watanzania wote ni wamoja nawamawasiliano ya karibu sana na wanajaliana sana hii itakupa mwanga kidogo kuwajua na jambo lolote liwatokee masai wakenya na waliopo Tanzania linawahusu.
Sisi Tufanya iwezekane sasahii haiwezekani kwa masai naona bro huwajui masai unafananisha na walizi wakwavi wanaokula samaki siyo masai labda uwauwe