nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Yaani mungu anatuchungulia huko juu anabaki tu kucheka..!Nchi nyngne zinafunga mipaka sisi tumekaa kama mazuzu,tena hawa watanzania wanaozurula ughaibun lazima wakirud watuletee hayo makorona yao. Tujitayarishe na misiba ya nyumba kwa nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee Link tusome WenyeweWaafrika hatuupati huo ugonjwa....na ifikie wakati sasa wazungu watupandishe hadhi,watupe heshma tunayostahili..mpaka sasa afrika nzima kafariki mtu mmoja tena si mwafrika'black' alikua mgeni tourist View attachment 1386354
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ni chumaHuu uogonjwa kwann watu weusi hawafiii wakiupataa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nicomenta kabisa mana najua asubh huu uzi umefutwa
Pia na umi kesho atatoa tamko kwamba ni habari za kizushi
Mm naomba tu Mungu atinusuru mana maisha yetu y walio wengi ni corona tosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hadi kwenye vifo kuna urafiki, hiyo Corona ikija naomba ianze na waoYule naibu waziri wa uchukuzi juzi amesema hawawezi kuzuia watu kuingia nchini kwasababu ya urafiki wa muda mrefu kati ya nchi yetu na nchi yao.
Sasa ngoja tuonae kama kweli hii Corona imeingia kama huo urafiki utaonekana maana wenzetu Italy ambao ni kati ya nchi zenye huduma bora za afya Ulaya mpaka sasa wamekuwa overwhelmed na Covid-19 kiasi kwamba nchi nzima kila kitu kimesimama.
Wewe ulitaka wafe?Huu uogonjwa kwann watu weusi hawafiii wakiupataa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]