Yadaiwa kuna mtu ana CORONA(Covd 19) kalazwa Regency Hospital DSM... Hospitali yasema amebainika hana ugonjwa huo

Yadaiwa kuna mtu ana CORONA(Covd 19) kalazwa Regency Hospital DSM... Hospitali yasema amebainika hana ugonjwa huo

Corona IPO Dar muda sanaa

Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida

Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy

Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable

Now nimeji self quarantine

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀...eti nimeji-self quarantine....aiseee wabongo ni shida.......
 
Nashangaa watu wanavyolazimisha kuwa tayari Tz Kuna Corona, sijui watapata faida gani kwa uwepo wa hiyo Corona??

Hivi kwanini tumekuwa wajuaji Sana kiasi hiki?? Yaani hapa kwetu likija suala la ugonjwa Kama huu basi kila mtu ni doctor tena wa viwango vya juu, likija suala ujenzi kila mtu ni engineer tena mbobezi haswa.
Likija suala la kiusalama basi kila mtu ni jasusi hatari.
Ukigusa sheria ndio kabisaa wote humu wanakuwa na shahada zao.
Nakumbuka kipindi cha ununuzi wa ndege, daah!! Kulikuwa na wataalamu wa ndege humu hujawahi kuona.

Nakumbuka watu walivyokuwa wanalazimisha kuwepo kwa Ebora hapa daah palikuwa hapatoshi hapa jukwaani kila mtu alikuja na taaluma yake mpya ya udaktari akitoa uthibitisho wa uwepo wa Ebora, leo tena tumehamia kwenye Corona.

Jambo la kushangaza wengine wanasema Corona imetokana na laana ya JK aliyofanya 2015 kuwa katuletea janga. Alafu bila aibu anajiita GT.

Ujinga huu sijui utaisha lini, inashangaza sana.
Mwingine anadiliki kusema et mtakufa nyumba kwa nyumba kana kwamba yeye anamkataba na Mungu hatokufa.
Usisahau wachina wenyewe walimpuuza dr alieanza kutoa tahadhari ya uwepo wa corona na wakamuweka kizuizini kwa muda kwa kutisha wananchi, mwishowe sasa hivi wanaona aibu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uogonjwa kwann watu weusi hawafiii wakiupataa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Huu itakuwa waliutengeneza kumuweka sawa..mtu asia ya arabuni huko....na ameanza kuisoma namba....kaomba mkopo..apigane na Corona!
Yetu sie ukimwi..cancer na ebola..tupo tunahangaika nayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangazo
IMG-20200313-WA0015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok subiri mungu hapendi umdhihaki unasema damu ya mwafrica ipo strong.mtakufa mpaka utasema mbona sisi tu watu weupe hawakufa hivi
Hio Kirusi kikingia kwenye damu ya muafrika tu kinakufa chenyewe Haraka sana. Yani kusema kwamba eti corona haipo humu ni uongo ila tu ni kama Flu hakiwezi fanya chochote ndani ya damu yetu we are stronger.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio uchawi wenyewe sasa, yaani watu mnahaaaamu ya kuona huu ugonjwa ukiingia bongo, ngozi nyeusi inausugu...
 
Back
Top Bottom