DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Waafrika hatuupati huo ugonjwa....na ifikie wakati sasa wazungu watupandishe hadhi,watupe heshma tunayostahili..mpaka sasa afrika nzima kafariki mtu mmoja tena si mwafrika'black' alikua mgeni tourist View attachment 1386354
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa Hatuna Undugu na hawa watu weupe uwe unaelewa. Mtu mweusi kufa kwa mafua ni aibu Kubwa .Yule naibu waziri wa uchukuzi juzi amesema hawawezi kuzuia watu kuingia nchini kwasababu ya urafiki wa muda mrefu kati ya nchi yetu na nchi yao.
Sasa ngoja tuonae kama kweli hii Corona imeingia kama huo urafiki utaonekana maana wenzetu Italy ambao ni kati ya nchi zenye huduma bora za afya Ulaya mpaka sasa wamekuwa overwhelmed na Covid-19 kiasi kwamba nchi nzima kila kitu kimesimama.
Trump amefunga mipaka ila sisi tunajifanya ni Taifa lililoendelea kuliko Marekani!kyemo, Yule naibu waziri wa uchukuzi juzi amesema hawawezi kuzuia watu kuingia nchini kwasababu ya urafiki wa muda mrefu kati ya nchi yetu na nchi yao.
Sasa ngoja tuonae kama kweli hii Corona imeingia kama huo urafiki utaonekana maana wenzetu Italy ambao ni kati ya nchi zenye huduma bora za afya Ulaya mpaka sasa wamekuwa overwhelmed na Covid-19 kiasi kwamba nchi nzima kila kitu kimesimama.
Nasikia watu wakiumwa tu...Covd 19 achana nayo kabisa
Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.
kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.
View attachment 1386340
Sijaelewa ni kwamba JK ndio kaleta Corona, COVID-19 ??Wewe ndo unaraana pamoja na wazazi wako ,unashindwa kuleta hoja za Covd 19 unaleta upuuzi wa kumlalamikia jk na ,Hugo unayemlalamikia ndo kaleta kolona duniani? Fala sana wewe mtoa maada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kubebesha watu laana unatoa wp?Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.
kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.
View attachment 1386340
You're sick and you need to see a doctor inaweza ikawa hata una pumu na huna uwezo wa kukaa sehemu yenye watu wengi au kupanda gari lilojaa sana au gari dogo maana utakosa pumzi.Corona IPO Dar muda sanaa
Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida
Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy
Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable
Now nimeji self quarantine
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako nimecheka, ili hali hili suala ni serious halipaswi mtu kucheka. hahahahahWaafrika ni chuma labda walete latest version ya Corona ila coron -19 ni ya kindezi tu kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kwa hiyo nikila matunda yenye vitamini c itasaidia kidogo mkuu,?Corona ipo Tz tena Dar ipo kabisa hata wafiche vipi virus vishaingia,
Kikubwa waungwana tujiepushe na kukaa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama sio lazima, tunawe mikono kila mara hata tukiwa majumban, lakini muhimu zaidi ni kupandisha kinga zetu za mwili, meza vidonge vya vitamin C kila siku,
Mola awe nasi.
Nchi nyngne zinafunga mipaka sisi tumekaa kama mazuzu,tena hawa watanzania wanaozurula ughaibun lazima wakirud watuletee hayo makorona yao. Tujitayarishe na misiba ya nyumba kwa nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kama mimi bossCorona IPO Dar muda sanaa
Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida
Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy
Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable
Now nimeji self quarantine
Sent using Jamii Forums mobile app