Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
😀😀😀😀😀...eti nimeji-self quarantine....aiseee wabongo ni shida.......Corona IPO Dar muda sanaa
Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida
Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy
Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable
Now nimeji self quarantine
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau wachina wenyewe walimpuuza dr alieanza kutoa tahadhari ya uwepo wa corona na wakamuweka kizuizini kwa muda kwa kutisha wananchi, mwishowe sasa hivi wanaona aibu....Nashangaa watu wanavyolazimisha kuwa tayari Tz Kuna Corona, sijui watapata faida gani kwa uwepo wa hiyo Corona??
Hivi kwanini tumekuwa wajuaji Sana kiasi hiki?? Yaani hapa kwetu likija suala la ugonjwa Kama huu basi kila mtu ni doctor tena wa viwango vya juu, likija suala ujenzi kila mtu ni engineer tena mbobezi haswa.
Likija suala la kiusalama basi kila mtu ni jasusi hatari.
Ukigusa sheria ndio kabisaa wote humu wanakuwa na shahada zao.
Nakumbuka kipindi cha ununuzi wa ndege, daah!! Kulikuwa na wataalamu wa ndege humu hujawahi kuona.
Nakumbuka watu walivyokuwa wanalazimisha kuwepo kwa Ebora hapa daah palikuwa hapatoshi hapa jukwaani kila mtu alikuja na taaluma yake mpya ya udaktari akitoa uthibitisho wa uwepo wa Ebora, leo tena tumehamia kwenye Corona.
Jambo la kushangaza wengine wanasema Corona imetokana na laana ya JK aliyofanya 2015 kuwa katuletea janga. Alafu bila aibu anajiita GT.
Ujinga huu sijui utaisha lini, inashangaza sana.
Mwingine anadiliki kusema et mtakufa nyumba kwa nyumba kana kwamba yeye anamkataba na Mungu hatokufa.
Huu itakuwa waliutengeneza kumuweka sawa..mtu asia ya arabuni huko....na ameanza kuisoma namba....kaomba mkopo..apigane na Corona!Huu uogonjwa kwann watu weusi hawafiii wakiupataa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Imebidi nicheke tu ...Ukiambiwa Hatuna Undugu na hawa watu weupe uwe unaelewa. Mtu mweusi kufa kwa mafua ni aibu Kubwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebola yenyewe iliishia uganda hapa ni chuma chuma Raisi mwenyewe ni Jiwe unategemea nn ?
Hio Kirusi kikingia kwenye damu ya muafrika tu kinakufa chenyewe Haraka sana. Yani kusema kwamba eti corona haipo humu ni uongo ila tu ni kama Flu hakiwezi fanya chochote ndani ya damu yetu we are stronger.
Ebola yenyewe iliishia uganda hapa ni chuma chuma Raisi mwenyewe ni Jiwe unategemea nn ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Corona 20, sio 19Waafrika ni chuma labda walete latest version ya Corona ila coron -19 ni ya kindezi tu kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia ya kuzushazusha hii serikali inabidi iifanyie kazi...ni tabia ya kiseng sana..!
Hapana ila waliokufa ni wachache sana most of them wameponaa kabisaaaa
Wagonjwa wa nini? Kwa kawaida watu ambao wanahisiwa kuwa wameambukizwa hutengwa ili afanyiwe uchunguzi kwa muda wa siku 14 ndipo huweza kuthibitishwa kama kweli au la. WACHENI MAJUNGU
Wapi nimeandika hayo majungu?Wagonjwa wa nini? Kwa kawaida watu ambao wanahisiwa kuwa wameambukizwa hutengwa ili afanyiwe uchunguzi kwa muda wa siku 14 ndipo huweza kuthibitishwa kama kweli au la. WACHENI MAJUNGU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebola yenyewe iliishia uganda hapa ni chuma chuma Raisi mwenyewe ni Jiwe unategemea nn ?
Sent using Jamii Forums mobile app