Yadaiwa mzee Ali Hassan Mwinyi (RIP) hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA. Maana yake hakuwa na tamaa

Yadaiwa mzee Ali Hassan Mwinyi (RIP) hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA. Maana yake hakuwa na tamaa

KUKOPA ama KUKOPESHA huleta stress, hasa mambo yakienda ndivyo sivyo.
Kwani lazima mambo yaende ndivyo sivyo? Kwani mtu hawezi kukopa poa, akali[pa, au akatoa mkopo akijua hapa silipwi, na asilipwe, na akaona alilojua limetimia, akaona poa, maisha yakaendelea tu?

Hizo habari za mtu asiyekopa au kukopesha kusifiwa ni mambo ya dunia iliyopitwa na wakati sana.

Watu wote wanaoelewa uchumi wa dunia ya leo wanakopa na kukopesha.

Acheni ujinga wa kutukuza ujima.
 
1984 ndio mwinyi aliteuliwa na mwl nyerere akawe rais wa Zanzibar na 1985 akamrudisha bara na kumkabdhi kijiti cha urais baada ya mwl kung'atuka
 
Back
Top Bottom