Tetesi: Yadaiwa rais wa Marekani Donald Trump akubali kupimwa usalama wa akili yake

Tetesi: Yadaiwa rais wa Marekani Donald Trump akubali kupimwa usalama wa akili yake

icho kitabu kingekuwa ni apa kwetu hakika pyu pyu pyu ingeongea vema na mwandishi siku iyo.
 
wazungu ni wanafiki sana; kwani si ndio wao wenyewe waliompigia kura na kumweka madarakani??

Mkuu kupiga kura ni suala lingine na maslahi ya Taifa ni suala lingine, ukumbuke pia hakupigiwa kura na wamarekani wote.
Kinachoangaliwa hapo ni maslahi ya Taifa na si kumfurahisha fulani au chama fulani, Lazima uitoe jamii wasiwasi na kuweka ushahidi unaoonyesha wako kwenye mikono salama.. HILI NI JAMBO JEMA..
 
wazungu ni wanafiki sana; kwani si ndio wao wenyewe waliompigia kura na kumweka madarakani??
We stroke hujitambui, unafikiri wenzetu wakifanya jambo zuri basi likitokea baya wanaacha, no wenzetu fikra zao ni za utambuzi sio kama za huku Africa esp.Tz wengi akili vumbi kama zako
 
Hiii ni sahihi sana.

Ingekuwa ni hapa kwetu hicho kitabu kingepigwa marufuku na mwandishi wa kitabu hicho sijui angekuwa wapi leo hii.
Kama waandishi wa habari wanapotea tu sijui kwa kweli mwandishi wa kitabu kinachomzungumzia Rais katika negative side angekuwa wapi
 
Kuna walio ombwa kutoa vyetu hawakutoa na kilichofuata ilikuwa ni kupotea kwa aliye toa wazo hilo
 
Mkuu kwani sisi hapa kwetu alijipigia kura mwenyewe au tulipiga sisi na tunaolalamika ni sisi?
Kwani wakati anaomba kura alikua amejificha uvunguni mwa kitanda?? au ilikua majukwaani ambapo ilikua ndio nafasi Yao kumpima kabla ya kufanya maamuzi?? wanaotakiwa kupimwa akili ni hao waliomchagua.

Na kuthibitisha kuwa hao wazungu ni wanafiki wengi wa waliohojiwa walisema hawakumpigia kura lakini mwisho wa siku alishinda.
 
Back
Top Bottom