Pale pana cctv camera kila kona,nimenunua gari pale zaidi ya mara mbili,sijawahi kutana na hizo changamoto.. mara ya mwisho nimenunua mwezi uliopita mwanzoni gari dogo tu kwa ajili ya wife.Ile security iliyoko pale Jan sidhani kama wanaweza kufanya hivyo...
Hao wanaouziwa parts pengine wanadanganywa kuwa zinatoja Jan kumbe siyo..
Pale Jan ukitaka kuchukua gari na limekuja na hiyo changamoto wanakuambia kabisa..
Asante mimi nimekuelewaTrust me, nisingeandika kitu JF kama ningekuwa sina uhakika...
Sometime tunaandika JF kwa kifupi sana ili kufikisha ujumbe, na kujaribu kuficha identity...
Miezi miwili mingi sana mkuu achilia mbali mwezi. Mi mwenyewe siwezi kumudu kusubiriSijafikiria kununua gari kwenye Yard zetu, maana Wabongo tunajijua Kwa janja janja
Kwani kuagiza na kusubiri miezi 2 gari yako ifike Kuna shida gani Chifu?
Kumbuka mwenda pole hajikwai 🤗
Ok sawaTrust me, nisingeandika kitu JF kama ningekuwa sina uhakika...
Sometime tunaandika JF kwa kifupi sana ili kufikisha ujumbe, na kujaribu kuficha identity...
Wengine wana chomoka na redioUnaongelea yadi, ngoma ikitoka tu bandarini hapo nje ya geti watu wanabadilisha betri
Hii niliishuhudia miaka miwili iliyopita
Kama huo uhuni wa kubadilisha vitu vidogo vidogo hata gari inapo ingia bandarini kutoka japan,jamaa huwa wanafanya hivyo..siyo kwenye yard pekee..kiufup umakini unahitajikaTrust me, nisingeandika kitu JF kama ningekuwa sina uhakika...
Sometime tunaandika JF kwa kifupi sana ili kufikisha ujumbe, na kujaribu kuficha identity...
Hata ukiagiza bado uhuni wanafanya pia..Unaongelea yadi, ngoma ikitoka tu bandarini hapo nje ya geti watu wanabadilisha betri
Hii niliishuhudia miaka miwili iliyopita
Hadi nimjue boss tena aisee biashara gani hiyo kuwa unaenda kununua kibiriti duka la mangi hadi umjue bosi kujua kuwa atakuuzia kibiriti kilichojaa njiti hakijapunguzwa aiseeeMiezi miwili mingi sana mkuu achilia mbali mwezi. Mi mwenyewe siwezi kumudu kusubiri
Bora anunue kwenye Yard ila ahakikishe anamjua Boss husika
📌📌📌📌📌📌KabisaKama huo uhuni wa kubadilisha vitu vidogo vidogo hata gari inapo ingia bandarini kutoka japan,jamaa huwa wanafanya hivyo..siyo kwenye yard pekee..kiufup umakini unahitajika
Inasikitisha sanaWengine wana chomoka na redio
Kama huo uhuni wa kubadilisha vitu vidogo vidogo hata gari inapo ingia bandarini kutoka japan,jamaa huwa wanafanya hivyo..siyo kwenye yard pekee..kiufup umakini unahitajika
Umeandika kiswahili sana mpaka nmeshindwa nkujibu niniHadi nimjue boss tena aisee biashara gani hiyo kuwa unaenda kununua kibiriti duka la mangi hadi umjue bosi kujua kuwa atakuuzia kibiriti kilichojaa njiti hakijapunguzwa aiseee
UKo sahihi kabisa,lakini siyo issue kubwa kama unavyo taka kuwaharibia mkuu.Sasa mkuu ile ni kampuni ambayo watu wengi wanaiamini kwa sababu ya ukubwa wake...
Inakuwa sio fresh kwa wateja...
Nakubaliana na wewe Mkuu...Pale pana cctv camera kila kona,nimenunua gari pale zaidi ya mara mbili,sijawahi kutana na hizo changamoto.. mara ya mwisho nimenunua mwezi uliopita mwanzoni gari dogo tu kwa ajili ya wife.
Tulicho badilisha ni tires pekee na engine oils,maana gari ilikuwa inaletwa dodoma.
Labda uwe makini kwenye ukaguzi wa hiyo gari yenyewe kabla ya kuichukuaMiezi miwili mingi sana mkuu achilia mbali mwezi. Mi mwenyewe siwezi kumudu kusubiri
Bora anunue kwenye Yard ila ahakikishe anamjua Boss husika
Kabisa mkuu..na wana gari nyingi kama uchafu aisee. Na kila siku zinaingia,jamaa walisema pale wanazo wastani wa gari elfu 2..na wanasema kule tegeta wana stock nyingine za magari kama elfu 1.Nakubaliana na wewe Mkuu...
Security ya pale mgeni mwenyewe ukiingia tu unaogopa
Wale watu kwa upande wa Yard za bongo hawana mpinzani...Na yard nyingi Dar wanachukua magari kwao..
Gari ikiwa na changamoto wanakueleza...
akachukue pale CMC Automobile, au Toyota ikibidi CFAO uhakikaNakubaliana na wewe Mkuu...
Security ya pale mgeni mwenyewe ukiingia tu unaogopa
Wale watu kwa upande wa Yard za bongo hawana mpinzani...Na yard nyingi Dar wanachukua magari kwao..
Gari ikiwa na changamoto wanakueleza...
Mkuu niombe radhi 😰VISHOKA wameanza kuitana sasa, waanze harakati za kuishi na mleta mada