Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
inhia supermarket zipo..ni bei poa tuhiyo apple cider huku uswahilini hakuna mkuu tunaishia kuziona kwenye picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inhia supermarket zipo..ni bei poa tuhiyo apple cider huku uswahilini hakuna mkuu tunaishia kuziona kwenye picha
View attachment 573408 View attachment 573409
MARAFIK ZANGU HAMJAMBO?
Haya Tena kwa wale wanaotaka Asali safi ya nyuki isiyo chakachuliwa Lita moja ni shilingi 15.000 wawasiliane kwa namba ya simu hii hapa 0754445733
Asali ina faida kubwa sana Asali ni Tiba kwa kila maradhi
YAFAHAMU MAGONJWA 23 YANAYOTIBIWA KWA MATUMIZI YA ASALI....
1. Ugonjwa wa viungo/maumivu na uvimbe.
2. Kukatika kwa nywele.
3. Ukungu wa miguu.
4. Maambukizo kwenye kibofu cha mkojo.
5. Maumivu ya jino.
6. Lehemu (Cholestral).
7. Ugumba
8. Mchafuko wa tumbo.
9. Ugonjwa wa moyo
10. Shinikizo la damu.
11. Kinga ya mwili.
12. Ukosefu wa nguvu za kiume.
13. Flu.
14. Umri wa kuishi.
15. Chunusi.
16. Kuumwa na wadudu (kwa washawasha) wenye sumu.
17. Madhara ya ngozi.
18. Kupungua kwa uzito.
19. Saratani.
20. Uchovu mwilini.
22. Harufu mwilini.
23. Kupungua kwa usikivu
View attachment 624100
unakula kila siku asubuhi mchana na usiku unachanganya na unga wa tangawizi.Kuhusiana na tatizo la nguvu za kiume je matumizi yanakua vipi mkuu
kitendo cha kukukinga na maradhi ni kuongeza siku za kuishi14.umri wa kuishi.
Inaongeza umri ee?
Kijiko gani?unakula kijiko 1X3 kwa siku
Una angalia ukubwa wa Maradhi yako kwa mfano ukiwa na maradhi ya Saratani tumia vijiko 2 asubuhi kabla ya kula kitu na mchana vijiko 2 na usiku vijiko 2 kila siku tumia siku 90 unaweza kupona. Kwa maradhi mengine tumia kijiko 1 X3 kila siku kwa siku 30. Na Asali yenyewe iwe mbichi haija chakachuliwa. Tumia kijiko cha Plastiki usitumie kijiko cha Aluminium hakifai kunywea dawa ya Asali kinachofaa ni kijiko hiki hapa chini. Ukikosa nunuwa hata kijiko cha mbao pia kinafaa.
View attachment 624068
Asali gani ni nzuri kati ya nyuki wadogo na wakubwachukuwa Asali kijiko 1 tia ndani ya glasi ya maji ya uvuguvugu koroga vizuri unywe jaribu hiyo njia tuone kama ni utaumwa na hilo tumbo tena.
Ninashukuru Mungu miaka 53 na sina maradhi yoyote mwilini mwangu ninajiangalia sana ninapo amka huwa ninachukuwa vijiko 2 Vya Siki ya Apple Cider Vinegar ninatia ndani ya glasi ya maji ya Uvuguvugu kisha ninatia kijiko 1 cha Asali ninakoroga vizuri na kunywa kila siku asubuhi, kisha ninakaa kwa dakika 20 ninaongeza glasi 1 ya maji ya uvuguvugu kisha ninakaa kwa muda wa Saa 1 kupita nina kula tunda moja la Apple,Tango 1 na ndizi 1 kila siku ndio ninavyokula .Kisha ikipita masaa 2 ndio ninakunywa chai ya asubuhi tena.
View attachment 624112 View attachment 624113 View attachment 624121 View attachment 624126
View attachment 624132
Cha mbao au cha plasticKijiko gani?
Nakazia hapaHabari dokta,
Naomba kuuliza swali.
Je matumizi ya asali yanaweza kuongeza uwezekano wa kupata kisukari!?
Sent using Jamii Forums mobile app