Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Kama hamumuelewi makonda basi anajaribu kurudisha enzi za magufulification lakn Kwa tZ hii naona ataleta athari hasi na chanya Kwa taifa na chama
 
sasa kwan makonda anaogopa kuchukiwa na MTU, iv mmeshasahau kwamba alinuniwa na kila mtu na hakutetereka alisonga mbele nanmaisha yake mpk raisi alipoamua kumpa cheo sasa kwann amnyenyekee mtu asipige zake kazi,, hii nchi wamejaa ubadhilifu na viongozi wa selikali wote wakilala asiwepo wa kukemea madudu yataongezeka acha makonda awatie kitumbo joto wapunguze ubadhilifu😏😏😏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…