Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Chapa kazi Comred [emoji123][emoji123]
1699900183387.jpg
 
Kama hamumuelewi makonda basi anajaribu kurudisha enzi za magufulification lakn Kwa tZ hii naona ataleta athari hasi na chanya Kwa taifa na chama
 
Mkuu to me Makonda ni Publicity Secretary,sasa kutaka Mawaziri na wakuu wa Taasisi wapeleke kwake taarifa za utendaji wao si sawa na kawadhalilisha.Ndio serikali hii ni ya CCM,lakini mamlaka hiyo ni ya Katibu Mkuu wa Chama na zipo protocols za kichama,si hivi anavyofanya Makonda.

Kijana huyu anapenda sifa sana,anachotafuta ni uadui tu na watu,na ataupata.
sasa kwan makonda anaogopa kuchukiwa na MTU, iv mmeshasahau kwamba alinuniwa na kila mtu na hakutetereka alisonga mbele nanmaisha yake mpk raisi alipoamua kumpa cheo sasa kwann amnyenyekee mtu asipige zake kazi,, hii nchi wamejaa ubadhilifu na viongozi wa selikali wote wakilala asiwepo wa kukemea madudu yataongezeka acha makonda awatie kitumbo joto wapunguze ubadhilifu😏😏😏
 
Back
Top Bottom