Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Ananikondesha kwa lipo kwa ujinga anayofanya,namshangaa tu.Makonda anakukondesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananikondesha kwa lipo kwa ujinga anayofanya,namshangaa tu.Makonda anakukondesha.
Wewe ni takatakaMakonda shikilia hapohapoooo naona inawaingia vizuri!
Hata Jiwe mlimwambia ashikilie hivyo hivyo leo kalala milele chattleMakonda shikilia hapohapoooo naona inawaingia vizuri!
Shida Nini c ni swali Hilo mzeePeleka taarifa ukaguliwe wewe, kama una madudu jisalimishe.
Hata Babu Yako mzaa nyoko wako kala pale kisiju! Vivyo hivyo nawewe soon unalala! Mark my word!Hata Jiwe mlimwambia ashikilie hivyo hivyo leo kalala milele chattle
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wewe ni takataka
Mbona unahaha sana?Ananikondesha kwa lipo kwa ujinga anayofanya,namshangaa tu.
Nahaha vipi,kusema ukweli ndio kuhaha.Kwa hiyo tunyamazie ujinga ili tusiambiwe tunahaha.You couldn't be more stupid.Mbona unahaha sana?
sasa kwan makonda anaogopa kuchukiwa na MTU, iv mmeshasahau kwamba alinuniwa na kila mtu na hakutetereka alisonga mbele nanmaisha yake mpk raisi alipoamua kumpa cheo sasa kwann amnyenyekee mtu asipige zake kazi,, hii nchi wamejaa ubadhilifu na viongozi wa selikali wote wakilala asiwepo wa kukemea madudu yataongezeka acha makonda awatie kitumbo joto wapunguze ubadhilifu😏😏😏Mkuu to me Makonda ni Publicity Secretary,sasa kutaka Mawaziri na wakuu wa Taasisi wapeleke kwake taarifa za utendaji wao si sawa na kawadhalilisha.Ndio serikali hii ni ya CCM,lakini mamlaka hiyo ni ya Katibu Mkuu wa Chama na zipo protocols za kichama,si hivi anavyofanya Makonda.
Kijana huyu anapenda sifa sana,anachotafuta ni uadui tu na watu,na ataupata.