Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Wadau nawasabahi.

Nimeshtushwa kidogo na Matamko mazito yanayotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenzi wa CCM Taifa Bw. Makonda ya kutaka apewe Taarifa za Utendaji za Mawaziri na watendaji wa Taasisi kama TRA n.k

Matamko ambayo mengi ni ya Kiutendaji ambayo nilitarajia Mtendaji Mkuu wa Chama ambaye ni Katibu Mkuu angeyatoa.

Najiuliza je, Kazi za Katibu wa Itikadi na Uenezi ni zipi? Mwenye kuzifahamu atujuze ili tumjue Kiongozi sahihi wa hizo kazi.
Majukumu ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ni kutoa taarifa/ maagizo ya chama. Kama Makonda anafanya hivyo na huoni akizuiwa na Katibu Mkuu au Wenyeviti, basi hicho anachokisema huko ndiyo maagizo/ taarifa za Chama.

Jambo kama hili liliwahi kufanywa wakati ambao Nape Nnauye akiwa kwenye nafasi kama ya Makonda, hapo ndipo neno la 'Mawaziri Mzigo' lilipoasisiwa. Kwa hiyo hatua hiyo siyo mpya kwa CCM.

Ova
 
Wadau nawasabahi.

Nimeshtushwa kidogo na Matamko mazito yanayotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenzi wa CCM Taifa Bw. Makonda ya kutaka apewe Taarifa za Utendaji za Mawaziri na watendaji wa Taasisi kama TRA n.k

Matamko ambayo mengi ni ya Kiutendaji ambayo nilitarajia Mtendaji Mkuu wa Chama ambaye ni Katibu Mkuu angeyatoa.

Najiuliza je, Kazi za Katibu wa Itikadi na Uenezi ni zipi? Mwenye kuzifahamu atujuze ili tumjue Kiongozi sahihi wa hizo kazi.
Ametamka ili ushtushwe hivyo lengo lake limetimia[emoji3]
 
Hizo Hizo vurugu ndio zitakazoleta uwajibikaji, wananchi tunataka uwajibikaji nothing else, keep moving on Makonda
This is funny.Kwa hiyo protocol na utawala wa Sheria umewekwa pembeni?Mbona Magufuli alipofuata Sheria kama ilivyo mlimuita dictator.Huyu hafuati utaratibu na sheria mnasema italeta uwajibikaji. Ni double standards za ajabu sana.Huu ni unafiki na ukosefu wa weledi.
 
Kuna katabia kanalelewa na kakiachwa kataenda kuwaabisha hadi viongozi wakuu wa nchi. Kuna tararibu za kiuwajibikaji serikalini na kwa chama. Hizi fujo za kuwakaripia mawaziri na viongozi wengine ambao wako accountable kwa Rais, Waziri Mkuu na katibu mkuu kiongozi ni za kidhalilishaji. Iko siku tutasikia hadi speaker, jaji mkuu na makamu wa Rais wanapewa siku 7 na mwenezi
Hata kinana wakati katibu mkuu wa chama alishatamka kuwa kunamawaziri wengine ni mzigo anatofauti ipi na makonda elewa matamko ya makonda ni matamko ya chama hii ni siasa
 
Hacha kutupangia Kama chama Ktk kufanya majukumu...!

Wakati anachukua hii Nafasi alisema hana urafiki na watendaji wabovu na hato waonea aibu
Sawa nani kakataa, afuate sheria basi.Ninyi mbona maboya?
 
Makonda ni Kama Ahed Ally au Kamwe, kazi yake ni ulopokaji na kueneza ujinga wa CCM tu. Hana uwezo wakumwajibisha waziri yeyote sema mawaziri wa CCM n mapoyoyo.... Imagine waziri mkuu ndio Lissu afu apewe amri ya vile...!
 
Yupo sahihi chama kimemtuma, hatuitaji watendaji wabovu...

Haya mambo ni kawaida katika chama chetu ktk kuisimamia serikali na watendaji wake

View attachment 2811956
IMG-20231111-WA0034.jpg
 
Makonda ni Mtu jasiri sana kama Iddi Amin, anakosa tu akili ya shuleni na mipango.
Usishangae siku Moja kama mwenezi akataka Taarifa ya Ndoa za watu.
 
Wadau nawasabahi.

Nimeshtushwa kidogo na Matamko mazito yanayotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenzi wa CCM Taifa Bw. Makonda ya kutaka apewe Taarifa za Utendaji za Mawaziri na watendaji wa Taasisi kama TRA n.k

Matamko ambayo mengi ni ya Kiutendaji ambayo nilitarajia Mtendaji Mkuu wa Chama ambaye ni Katibu Mkuu angeyatoa.

Najiuliza je, Kazi za Katibu wa Itikadi na Uenezi ni zipi? Mwenye kuzifahamu atujuze ili tumjue Kiongozi sahihi wa hizo kazi.

Kwani mkuu kwani hujui kama huyo ni naibu raisi?
 
Huu ni mkakati wa kutaka kuwapunguza pembe ambao wamekuwa ni vichwamaji kama Nape, Mwigulu na January Makamba. Wanajiona wao ni untouchable. Unakumbuka juzi alimpigia Kidata akamshiti na watu wakamcheka Makonda? Sasa anamrudi maana Samia alisha mshindwa Kidata. Hata Majaliwa alipoeenda kuongea na Wafanyabiashara wa Kariakoo, Kidata hakwenda pamoja Waziri wake alikuwepo. Kidata amekuwa Problem sababu ya mtoto wa samia...... Huu mkakati pia ni moja ya kumsafisha Samia kwa kumteua Sofia Mjema ambaye alipwaya hakuna mfano.

Kidata kaamuoa mtoto wa sama?
 
Yupo hapo kwa kazi maalum kumsafishia mkuu njia kwa mwaka 2025, kujisafishia njia yeye mwenyewe na kujibu maswali magumu ambayo viongozi wengi wa chama tawala wameshindwa kuyajibu, baada ya uchaguzi 2025 atapewa 'zawadi maalum' ambayo wengi watabaki midomo wazi. Tuombe uhai.
 
Makonda shikilia hapohapoooo naona inawaingia vizuri!
 
Wadau nawasabahi.

Nimeshtushwa kidogo na Matamko mazito yanayotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenzi wa CCM Taifa Bw. Makonda ya kutaka apewe Taarifa za Utendaji za Mawaziri na watendaji wa Taasisi kama TRA n.k

Matamko ambayo mengi ni ya Kiutendaji ambayo nilitarajia Mtendaji Mkuu wa Chama ambaye ni Katibu Mkuu angeyatoa.

Najiuliza je, Kazi za Katibu wa Itikadi na Uenezi ni zipi? Mwenye kuzifahamu atujuze ili tumjue Kiongozi sahihi wa hizo kazi.
CCM mnahangaika sana. Vyama vya mifukoni, kulikoni huko saccos?
 
Dah,sijui mmekuaje,yaani hamjielewi kabisa.Akili gani hizi,yaani binadamu sasa hawajui baya na jema,lolote lile sawa tu,very sad.Humanity now is gone,yes gone.No power of discernment kabisa,simply gone.
Makonda anakukondesha.
 
Mkuu to me Makonda ni Publicity Secretary,sasa kutaka Mawaziri na wakuu wa Taasisi wapeleke kwake taarifa za utendaji wao si sawa na kawadhalilisha.Ndio serikali hii ni ya CCM,lakini mamlaka hiyo ni ya Katibu Mkuu wa Chama na zipo protocols za kichama,si hivi anavyofanya Makonda.

Kijana huyu anapenda sifa sana,anachotafuta ni uadui tu na watu,na ataupata.
Na ndio purotoko zimetufikisha hapa tulipooo.in.magu voice. Nasema hapa tunararq mbereee utazitapika hera
 
Kuna watu mavi yanagonga chupi maana wameiba sana sasa wakimsikia makonda wanajamba ..Sasa wanaanza kutafuta jinsi ya kumtuliza maana ngoma inakwenda kila mkoa ww km mwizi unachanwa live si mmeubia wananchi sana sasa Makonda ndo kiboko yenu
 
Back
Top Bottom