Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

Msafiwaakili

Member
Joined
Jan 4, 2022
Posts
11
Reaction score
8
Matumaini yangu ni wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kwanza kabisa nianze kwa kuisifu,eeeh bhanaa hamna mikoa mizuri hapa Tanzania [emoji1241] kama mikoa ya kusini hasa hasa ile iliyopitiwa na bahari yaani MTWARA na LINDI sijajua hata tulikwama wapi kuifanya iwe kama Istanbul, Edinburgh ya Scotland, New Orleans ya Louisiana, Venice ya Italy, Bangkok ya Thailand, Honolulu ya Hawaii, Miami, Vancouver ya British Colombia, Tokyo, Chicago, Los angeles, New York city na mingine kibao.

NIJE KWENYE POINT SASA[emoji419]
Hii mikoa inarasilimali nyingi sana especially MTWARA ingawa inasemekana kuna wasomi wazawa wachache katika fani mbalimbali.

•Ili kuiboost ii mikoa kwanza wasomi wazawa kwenye fani mbalimbali wote wahesabiwe (kama kwenye SENSA inawezekana ii haishindikani) ambao wapo mikoani umo.

•Community assets ziorodheshwe vyema (hapa sina shaka mana rasilimali zipo kama zote) mfano kwa mtwara kuna ardhi yenye rutuba, Gesi asilia, Fukwe nzuri, Bahari safi kabisa, misitu.

Baada ya kufanya ivo iandaliwe project ambayo itafanyika ndani ya mikoa yaani each and every process inafanyika ndani hamna kuhusishwa mkoa mwingine,ingawa kwa baadhi ya projects bajeti kubwa itatumika lakini italeta matokeo makubwa sana. Alafu kulingana na project hiyo wazawa wenye taaluma kwenye iyo fani wapewe kipaumbele kwenye kushiriki (kuajiriwa) na wasipotosha waongezwe kutoka maeneo mengine. JAMII LAZIMA ZITUMIE ASSETS ZILIZONAZO ILI KULETA MAENDELEO KWENYE JAMII HUSIKA hii njia ndo imetumika na majiji mengi duniani.

• Yawepo madarasa ya kutoa elimu ya uwekezaji kwa jamii ili isifanyike kazi bure pesa yote wakaenda kununulia soda mbuzi, kufanyia unyago, kunywea pombe na kuvutia bangi.

Mfano:
Project Kwa suala la ardhi yenye rutuba wafacilitate kilimo kwa kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba makubwa ya mazao ya msimu kama mbaazi, karanga, mihogo afu wazawa wenye fani zao kwenye kilimo wachukuliwe wafanye yao. Hapa pia itaambatana na uanzishwaji wa semina mbalimbali kuhusu kilimo pamoja na mradi wa uzalishaji wa mbolea kupitia malighafi zipatikanazo mkoani hapo kama vile mabaki ya mimea na takataka nyinginezo.

Hii mbolea itaboost pia uzalishaji wa mazao ya mda mrefu kama vile korosho.KOTE UKO WAZAWA WENYE TAALUMA WAPEWE KIPAUMBELE kwenye fani husika. Good enough bandari ipo na ni nzuri tu exportation ya mazao yote hayo ianzie hapo.

MIDDLE MEN KATIKA UNUNUAJI WA MAZAO WAPIGWE VITA, CHANGAMOTO KUBWA IPO KWA SERIKALI SASA IPO STRONG ENOUGH KUFANYA YOTE HAY0? mpaka inakera[emoji23].

Kuna suala la Recreation places kwenye beaches, utalii, viwanda na mengine mengi. KUSINI KAMA HONGKONG

Nitauendeleza uzi na kuufanyia updates niishie hapa kwanza

View attachment 2070084
View attachment 2070085
View attachment 2070086
View attachment 2070087
View attachment 2070088
 
Katika mambo ambayo hayawezekani labda wakoloni warudi ni issues za mwafika kuendeleza kimaendeleo eneo alilotoka liwe katika mvuto na uzalishaji.

Moja ya sababu ni kwamba sisi waafrika hatukupewa creativity unit spirit ambayo unaweza kujituma na ukamshirikisha mwenzako na mkafanya jambo kubwa, HAKUNA.

Siyo Mtwara na Lindi tu, chukua mfano wa rais late Mkapa kwao si huko masasi, why akaacha kwao akaenda kujenga south Afrika au Lushoto?.

Although kuna jambo ambalo linafanya ugumu ni tabia endelevu, watu fulani as wasomi, viongozi nk wakianza kuendeleza kwao, wengine watapiga kelele kuwa ni wezi, wanaiba na kufanya mapinduzi kwao.

Roho mbaya, husuda, ubinafsi vyote vinachangia kila mkoa kuwa ulivyo leo, angalia mererani, ndiko in the globe Tanzanite inatoka lakini mpaka kufika kule kama huna usafiri wa maana utadhani umetoka shimoni.

But nenda huko duniani wanakouza huo mzigo sasa 🥱!.
 
Katika mambo ambayo hayawezekani labda wakoloni warudi ni issues za mwafika kuendeleza kimaendeleo eneo alilotoka liwe katika mvuto na uzalishaji.

Moja ya sababu ni kwamba sisi waafrika hatukupewa creativity unit spirit ambayo unaweza kujituma na ukamshirikisha mwenzako na mkafanya jambo kubwa, HAKUNA.

Siyo Mtwara na Lindi tu, chukua mfano wa rais late Mkapa kwao si huko masasi, why akaacha kwao akaenda kujenga south Afrika au Lushoto?.

Although kuna jambo ambalo linafanya ugumu ni tabia endelevu, watu fulani as wasomi, viongozi nk wakianza kuendeleza kwao, wengine watapiga kelele kuwa ni wezi, wanaiba na kufanya mapinduzi kwao.

Roho mbaya, husuda, ubinafsi vyote vinachangia kila mkoa kuwa ulivyo leo, angalia mererani, ndiko in the globe Tanzanite inatoka lakini mpaka kufika kule kama huna usafiri wa maana utadhani umetoka shimoni.

But nenda huko duniani wanakouza huo mzigo sasa 🥱!.
Mkuu kumbe unaujua usafiri wa kule balaaa😀😀ila bora kule kuna usafiri wa mbarali kwenda mahongole ni shidaaa
 
Bongo nyoso..kimsingi viongozi wanalaana wanaitia nchi unajisi.

Hata hivyo wamakonde wakifika dsm..hawataki kurudi kuwekeza kwako..wanawaenda msimu wa korosho wakipata hela waanakuja kubanana mbagala.

Mungu awaongoze.

#MaendeleoHayanaChama
 
Matumaini yangu ni wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kwanza kabisa nianze kwa kuisifu,eeeh bhanaa hamna mikoa mizuri hapa Tanzania [emoji1241] kama mikoa ya kusini hasa hasa ile iliyopitiwa na bahari yaani MTWARA na LINDI sijajua hata tulikwama wapi kuifanya iwe kama Istanbul, Edinburgh ya Scotland, New Orleans ya Louisiana, Venice ya Italy, Bangkok ya Thailand, Honolulu ya Hawaii, Miami, Vancouver ya British Colombia, Tokyo, Chicago, Los angeles, New York city na mingine kibao.

NIJE KWENYE POINT SASA[emoji419]
Hii mikoa inarasilimali nyingi sana especially MTWARA ingawa inasemekana kuna wasomi wazawa wachache katika fani mbalimbali.

•Ili kuiboost ii mikoa kwanza wasomi wazawa kwenye fani mbalimbali wote wahesabiwe (kama kwenye SENSA inawezekana ii haishindikani) ambao wapo mikoani umo.

•Community assets ziorodheshwe vyema (hapa sina shaka mana rasilimali zipo kama zote) mfano kwa mtwara kuna ardhi yenye rutuba, Gesi asilia, Fukwe nzuri, Bahari safi kabisa, misitu.

Baada ya kufanya ivo iandaliwe project ambayo itafanyika ndani ya mikoa yaani each and every process inafanyika ndani hamna kuhusishwa mkoa mwingine,ingawa kwa baadhi ya projects bajeti kubwa itatumika lakini italeta matokeo makubwa sana. Alafu kulingana na project hiyo wazawa wenye taaluma kwenye iyo fani wapewe kipaumbele kwenye kushiriki (kuajiriwa) na wasipotosha waongezwe kutoka maeneo mengine. JAMII LAZIMA ZITUMIE ASSETS ZILIZONAZO ILI KULETA MAENDELEO KWENYE JAMII HUSIKA hii njia ndo imetumika na majiji mengi duniani.

• Yawepo madarasa ya kutoa elimu ya uwekezaji kwa jamii ili isifanyike kazi bure pesa yote wakaenda kununulia soda mbuzi, kufanyia unyago, kunywea pombe na kuvutia bangi.

Mfano:
Project Kwa suala la ardhi yenye rutuba wafacilitate kilimo kwa kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba makubwa ya mazao ya msimu kama mbaazi, karanga, mihogo afu wazawa wenye fani zao kwenye kilimo wachukuliwe wafanye yao. Hapa pia itaambatana na uanzishwaji wa semina mbalimbali kuhusu kilimo pamoja na mradi wa uzalishaji wa mbolea kupitia malighafi zipatikanazo mkoani hapo kama vile mabaki ya mimea na takataka nyinginezo.

Hii mbolea itaboost pia uzalishaji wa mazao ya mda mrefu kama vile korosho.KOTE UKO WAZAWA WENYE TAALUMA WAPEWE KIPAUMBELE kwenye fani husika. Good enough bandari ipo na ni nzuri tu exportation ya mazao yote hayo ianzie hapo.

MIDDLE MEN KATIKA UNUNUAJI WA MAZAO WAPIGWE VITA, CHANGAMOTO KUBWA IPO KWA SERIKALI SASA IPO STRONG ENOUGH KUFANYA YOTE HAY0? mpaka inakera[emoji23].

Kuna suala la Recreation places kwenye beaches, utalii, viwanda na mengine mengi. KUSINI KAMA HONGKONG

Nitauendeleza uzi na kuufanyia updates niishie hapa kwanza

View attachment 2070084
View attachment 2070085
View attachment 2070086
View attachment 2070087
View attachment 2070088
Hii mikoa wanapata pesa nyingi za korosho na ufuta, ila wakishazipata wanazitoa zote benki , wanakozipeleka wanajua wenyewe , mwaka unaofuata hata pesa ya kununua dawa za magugu hawana
 
Katika mambo ambayo hayawezekani labda wakoloni warudi ni issues za mwafika kuendeleza kimaendeleo eneo alilotoka liwe katika mvuto na uzalishaji.

Moja ya sababu ni kwamba sisi waafrika hatukupewa creativity unit spirit ambayo unaweza kujituma na ukamshirikisha mwenzako na mkafanya jambo kubwa, HAKUNA.

Siyo Mtwara na Lindi tu, chukua mfano wa rais late Mkapa kwao si huko masasi, why akaacha kwao akaenda kujenga south Afrika au Lushoto?.

Although kuna jambo ambalo linafanya ugumu ni tabia endelevu, watu fulani as wasomi, viongozi nk wakianza kuendeleza kwao, wengine watapiga kelele kuwa ni wezi, wanaiba na kufanya mapinduzi kwao.

Roho mbaya, husuda, ubinafsi vyote vinachangia kila mkoa kuwa ulivyo leo, angalia mererani, ndiko in the globe Tanzanite inatoka lakini mpaka kufika kule kama huna usafiri wa maana utadhani umetoka shimoni.

But nenda huko duniani wanakouza huo mzigo sasa 🥱!.

Uneongea point asee,nahisi suluhisho ni namna ya kuipata hiyo creativity unit spirit ambayo itatufanya tufikie lengo.
 
Bongo nyoso..kimsingi viongozi wanalaana wanaitia nchi unajisi.

Hata hivyo wamakonde wakifika dsm..hawataki kurudi kuwekeza kwako..wanawaenda msimu wa korosho wakipata hela waanakuja kubanana mbagala.

Mungu awaongoze.

#MaendeleoHayanaChama

Ni kweli na hii ni kwa sababu umakondeni hamna mazingira wezeshi ya kufanya uwekezaji,hivo bhas watu wakipata pesa wanaukimbia mkoa .Nafikiri kama mkoa ungekuwa na miradi mbalimbali ya maendeleo bhas watu wengi wangevutiwa na hiyo mikoa na wamakomde pia wangejenga na kuwekeza kwao.
 
Hii mikoa wanapata pesa nyingi za korosho na ufuta, ila wakishazipata wanazitoa zote benki , wanakozipeleka wanajua wenyewe , mwaka unaofuata hata pesa ya kununua dawa za magugu hawana

Elimu ya pesa na uwekezaji inapaswa kutolewa ili kupunguza tatizo hili,afu na kingine bei za mazao zinamnyonya sana mkulima kwa sababu wanaonunua ni middle men wasio na huruma kwa mkulima.
 
Nataka hekta laki moja kwa ajili ya kulima chikichi,katani,alizeti vipi mikoa ya kusini naweza pata zote kwa pamoja na vipi hali ya hewa ni rafiki kwa mazao hayo.
Nataka kufanya estates
 
Mikoa ya kusini ndiyo yenye hazina za rasrimali nyingi kwa sasa.
Na ndio tegemeo la Taifa hapo baadae.
Hebu tuendelee kuithamini na kuiheshimu.
 
Mikoa ya kusini ndio mikoa yenye watu wenye low thinking capacity kuliko mikoa yote key points sababu ya kuamini ushirikina.
Na lengo kuu la ushirikina ni kupunguza uwezo wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom