Yafuatayo ni mauaji tisa (9) ya halaiki makubwa zaidi kuwahi kutokea Duniani

Kumbe wamarekani walikuwa wakristo kwa mtutu wa Bunduki kwa mujibu wa no.7, sasa si warud kwenye dini ya asili? halafu wanakumbuka zaid sept.11 kuliko mauwaji haya!!!
Wahindi wekundu sio hawa wamarekani wa sasa weusi na wazungu
 
But nasikia mauaji ya red indians ndio mauaji ya halaiki kuliko mauaji yoyote duniani sema wazungu wanaficha idadi kamili sababu wao ndio wahusika wakuu. Na wakaikuza ya hitler wakati ilikuwani kamba tu zile.
 
Nyambaff: What about MAUAJI YA RWANDA?
 
Hizo zilikuwa kamba hakuna ukweli ndio maana watu wamezipotezea nowdays
Hakuna kamba hapo kasome hukumu za Nuramberg Trials extracts......ama kama ww ni mvivu wa kufanya research .....google ..... "the holocaust" for quick and more information.
 
Hao red indians wako wapi? Unaweza ku justify kutoweka wote kwa sababu tu unataka kuifanya America ya wagen kuwa great Nation?
Hizi ndio akili za kuwaondoa wenyeji/ Wapalestina wote ili lipatikane Taifa kubwa la Wayahudi tena!!!!
 
MAUAJI YALIYOFANYA NA WAZUNGU DHIDI YA WAMAREKANI ASILIA (WAHINDI WEKUNDU).



Mamilioni ya hawa jamaa waliuliwa bila huruma. Ila hapa tutazaungumzia kabila dogo tu la MOQUI katika mji ulioitwa AWATOVI huko ALIZONA. Wahispania Makasisi walifika wakawalazimisha kuwa wakristo wakagoma. Ikabidi liitwe jeshi, maana wakazi waliwachukia wahispania na wachache waliobadili dini. Wanaume wakiwa kwenye sherehe Walivamiwa na kuuliwa. Wanaume wote. Wanawake na watoto wakachukuliwa mateka. Wakiwa njiani wakabishana wawapeleke wapi, wakaamua kuwaua woote ili kujipunguzia mizigo.
 
Mapinduzi ya Zanzibar 1964 mauaji ya waarabu na machotara kati ya 10,000 na 20,000
 
Umemsahau Adolf Hitler aliyewachoma wayahudi wapatao milioni sita kwa kutumia gas
Una uhakika au mnalishwa propaganda tu?? Hao wayahudi walikuwa wanafika milion 6 central europe??? Ina maana kama walikufa million sita hawa zaidi ya million 8 walitoka wapi ina maana wayahudi walikuwa more than 14 million central europe???

Hizo propaganda tu hamna kitu kma holocaust ya watu miliion 6 ni sawa tu na mauaji ya kimbari hakuna watutsi laki 8 rwanda ila tunaaminishwa eti watutsi waliuawa na wahutu ssa jiulize watutsi walikua laki 2 hao laki 6 ni kina nani??? Na kwanni muyaite mauaji ya watutsi wakati hawafiki laki 8???

Mfanyage research acheni propaganda
 
Hakuna kamba hapo kasome hukumu za Nuramberg Trials extracts......ama kama ww ni mvivu wa kufanya research .....google ..... "the holocaust" for quick and more information.
Kwahyo wayahudi walikuwa wanafika million 14 central europe yaani 6 million deaths na 8 million survivors wa sasa???

Afu eti source yako google??? Wakati google hyo hyo inasema claim ya wayahudi kuuliwa million 6 imerudiwa mara kibao tokea ottoman empire mpka bolshevik revolution ya 1917 so hakuna credibility ya taarifa hizi
 
Acha ubishi wa kipuuzi

hoja ni mauaji ya halaiki

kama hujui maana ya halaiki

kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…