Yafuatayo ni mauaji tisa (9) ya halaiki makubwa zaidi kuwahi kutokea Duniani

Acha ubishi wa kipuuzi

hoja ni mauaji ya halaiki

kama hujui maana ya halaiki

kaa kimya
Ubishi upi mkuu hao million 6 wameuawa lini mbona mnakuwa na propaganda za kitoto hivi...... Mnaropoka tu eti million 6 wakati mnasahau hta hawafiki hyo namba central europe by then .... Mkadanganye vikao vya kahawa sio great thinkers
 
Ubishi upi mkuu hao million 6 wameuawa lini mbona mnakuwa na propaganda za kitoto hivi...... Mnaropoka tu eti million 6 wakati mnasahau hta hawafiki hyo namba central europe by then .... Mkadanganye vikao vya kahawa sio great thinkers
Stupid, pick your struggle elsewhere.
 
For sure u dont have a brain bro,

unajua maana ya mauaji ya halaiki?

"mass murder"

hatubishanii idadi,tunazungumzia uwingi,

hata watu mia wakiuwawa bado ni mauaji

ya halaiki tek that to the bank
 
For sure u dont have a brain bro,

unajua maana ya mauaji ya halaiki?

"mass murder"

hatubishanii idadi,tunazungumzia uwingi,

hata watu mia wakiuwawa bado ni mauaji

ya halaiki tek that to the bank
Halaiki inaweza kuwepo ila mnaikuza hawafiki hata laki 5 waliouawa kivp mnasahau mass murder za Huko Burma au East timor walipochinjwa watu mamilion zaidi ya 5.... Vipi huko uvira congo pale watutsi walipochinja wahutu mamilion mwaka 1997 .... Mbona huongelei Emir pasha alipoua waarmenia mamilion kisa ni wakristo waliokataa kusilimu...... Vp huongelei mauaji ya so called mass murder huko bunia kati ya wahema na walendu walikufa malaki alafu mnakimbilia eti wayahudi!!

Eti mass murder ni wayahudi!!!! Embu kafanyeni research acheni propaganda za wazungu ili muwaonee huruma israel wanaowatesa wapalestina wasio na hatia...... No wonder wana nuclear marekani haipigi kelele ila kila siku kuiandama Iran
 
tafadhali picha zinatisha


Odessa Massacre



Babi Yar Massacre


Nanking Massacre


Sabra and Shatila Massacre

Mkuu hiyo massacre nanking iliua bendi...... watu waliuawa kma kuku tena kwa panga sio hta risasi dah inahuzunisha sana
 
Mkuu hiyo massacre nanking iliua bendi...... watu waliuawa kma kuku tena kwa panga sio hta risasi dah inahuzunisha sana

sana mkuu,nadhani mpaka sasa china inauchungu sana na emperior japan. ila kwakweli mungu mkubwa china imekujakuwa super power toka zamani inashambuliwa sana,mongolia, ganges khan na emperior japan wote walijaribu kuitawala china but walishindwa. Ancient Civilized Dynasty of china naonailiandikwa mpaka kwenye kuruani....MKATAFUTE ELIMU MPAKA HUKO CHINA.......HAHAHAAAAA WAISLAM MWENDE CHINA JAMANI MKATAFUTE ELIMU
 
Historia ina mambo mengi ya kujifunza
 
Asante nimejifunza kitu kikubwa Sana,kuhusu mauaji ya wayahudi ujerumani someni religious sensa ya mwaka 1933 na 1948 utapata ukweli.
 
Religious sensa ya nchi gani?
Asante nimejifunza kitu kikubwa Sana,kuhusu mauaji ya wayahudi ujerumani someni religious sensa ya mwaka 1933 na 1948 utapata ukweli.
 
..Zote Zitaonekana ni Bla Bla TU màana haziina Tarehe ama Mwaka zilipotokea!!
 

Umesahau mauwaji ya watu Zanzibar wakati Tanganyika chini ya Mkatoliki Nyerere Na Okello waliuwa zaidi ya watu 13 000 kwenye mji wa wa watu Laki 1 Na nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…