Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

Hichilema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
1,608
Reaction score
1,687
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Fred Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.

2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Augustine Okra, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.

3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).

4. Mchua misuli (Fareed Casem) na kocha wa viungo(Kelvin Mandra)wataondoshwa.

5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.

6. Kuna wachezaji tegemeo wataondoka. Kama si Baleke, Sakho, Zimbwe basi Inonga
 
Kama mtaendelea kusajili wachezaji wa$ 20,000 kutokea nje ya mipaka, mtaendelea kulia na kusaga meno.
Ishu sio bei, ishu ni kiwango cha mchezaji. Ingekuwa ni bei ya mchezaji. Linganisha bei ya Feitoto na Morrison. kuna wakati unaweza ukawa na mchezaji wa gharama ya kawaida lakini kiufundi akakufaa, na kinyume chake
 
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Frwd Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au
Mheshimiwa CEO tumekunyaka.
 
Ishu sio bei, ishu ni kiwango cha mchezaji. Ingekuwa ni bei ya mchezaji. Linganisha bei ya Feitoto na Morrison. kuna wakati unaweza ukawa na mchezaji wa gharama ya kawaida lakini kiufundi akakufaa, na kinyume chake
Unatumia nguvu kubwa kumwelewesha mtu wa utopolo,dah.....jitihada zako umetupa,hayana akili hayo
 
Ishu sio bei, ishu ni kiwango cha mchezaji. Ingekuwa ni bei ya mchezaji. Linganisha bei ya Feitoto na Morrison. kuna wakati unaweza ukawa na mchezaji wa gharama ya kawaida lakini kiufundi akakufaa, na kinyume chake
Feitoto gharama yake Kwa Sasa ni kubwa kuliko Morrison kwakua uwekezaji uliofanywa juu yake ni mkubwa sana.

Kama Fei angekua anacheza Tukunyema Boys uko Newala asingefikia kiwango alichonacho. Mwangalie Fei aliyekua Yanga na Fei aliyetokea vichakani Kuja kuchezea Taifa stars.

Nakama bado mna fikra za kupata mchezaji wa $20, 000 kutokea nje mwenye uwezo wa Kuja kucheza Simba hesabuni maumivu Kwa miaka mingi sana.
 
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Frwd Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.

2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.

3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).

4. Mchua misuli (Fareed Casem) ataondoshwa.

5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.
Umeanza vizuri ila namba tano umeharibu tena.. tutarudi kule kule..
 
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Frwd Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.

2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.

3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).

4. Mchua misuli (Fareed Casem) ataondoshwa.

5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.
Erasto anabaki

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Frwd Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.

2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.

3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).

4. Mchua misuli (Fareed Casem) ataondoshwa.

5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.
Utoe na hela ya usajili basi...unajua gharamabya kuvunja mikataba?
 
Katika hiyo list yako hakuna Mzee Bocco na Mzee Onyango??
Boko ataendeleaa kubaki kwa kuwa hatujapata striker mzawa wa kumzidi. Onyango atabaki kwa kuwa Ouattara ataondoka hivyo beki ajaye atakuja kumchallenge na possibly kumuweka benchi Onyango
 
Umeanza vizuri ila namba tano umeharibu tena.. tutarudi kule kule..
Sijaharibu hata kidogo. Usajili wa Simba umesuasua hii misimu miwili ambayo Mo kamuachia usimamizi Try Again. Atarudi kujihusisha kwa ukaribu kwa sababu ya malalamiko makubwa ya mashabiki ila sababu kubwa ni Super League
 
Back
Top Bottom