YAH:kumkaribisha member ''GENERATION-Y'' ndani ya I.S.C

Give me a break pliiiiz!mbavu zangu zinauma.Sasa ukiwa kama mfalme mimi nashauri iwe cocktail party maana kutakuwa hakuna haja ya kuingia nymba ya kulala wageni,ukizingatia nitakuwa sina usingizi
I may go through your plan,but again tunaweza fikiria ku-temper na moja kati ya rules zetu........!anyways,le me check with other membaaz

AU WAIT....!okay okay i think i have an idea........!WE JUST NEED A PLACE TO HAVE IT PERFORMED!YES JUST A PLACE..........ngoja niongee na mjumbe wa bodi ya udhamini kuhusu signecha hii:

WOMEN NEED A REASON TO HAVE SEX,BUT MEN JUST NEED A PLACE
 
Venue itakuwa church na nitaanza na wewe,so sema na king kama unaruhusiwa

Kuna guest moja iko maeneo ya bondeni sinza inaitwa Churchill Guest house sasa sijui ulimaanisha hiyo ukabidi uiite jina lake kwa kifupi
 
 
Asprin nimeshamaliza nae nimemwacha chumba cha faragha so rekebisha ratiba,bila kusahau venue ni Church ofisi ya councelling na maombi]

Karibu kanisani wiselady....ila naomba uje mda ambao sista gabriela atakua amelala....(ana wivu balaa)....
Says st.roya..
 

Mpwa kwa heshima na taadhima zote za ISC naomba ruhusa ya kutumia hii signecha
 
Kwa maneno wakati mlipokuwa mnapata valuu ila najua kwakuwa haiko kwenye makaratasi basi Kimey bado ni mwanachama hai amelipa ada yake hadi december 31
Kulipa si sababu,kumbuka mabadiliko ni kitu cha taratibu hivyo nampa muda najua kidogo2 ataacha
 
Kuna guest moja iko maeneo ya bondeni sinza inaitwa Churchill Guest house sasa sijui ulimaanisha hiyo ukabidi uiite jina lake kwa kifupi

Namaanisha CHURCH usijifanye hujaelewa, au kwa kirefu Kanisa lenye nguvu na miujiza.
 
Karibu kanisani wiselady....ila naomba uje mda ambao sista gabriela atakua amelala....(ana wivu balaa)....
Says st.roya..

Mh! asante lkn kwa hiyo tahadhari napaswa kuchukua hatua mapema though nilipanga kutoka na wewe wk end:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Mh! asante lkn kwa hiyo tahadhari napaswa kuchukua hatua mapema though nilipanga kutoka na wewe wk end:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
katibu nitaomba niikute hii kwenye minutes
 
Mh! asante lkn kwa hiyo tahadhari napaswa kuchukua hatua mapema though nilipanga kutoka na wewe wk end:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Kumbuka viongozi wakuu wanapaswa kuaminika na kuheshimika na watu wote....

katibu nitaomba niikute hii kwenye minutes

Don worry....ukatibu wangu sio kama ule wa mgosi wa kaya...
 
UNENAMWA GUEST HOUSE

Hawa jamaa huwa na gundu nao kila nikienda naambiwa vyumba vimejaa watu wanalipia mwezi mzima nini?
 
Mpwa kwa heshima na taadhima zote za ISC naomba ruhusa ya kutumia hii signecha
sio yangu mkuu!
ni moja kati ya signecha za bigirita ambazo huwa nazikubali sana....

ongea na mjumbe wa bodi ya wadhamini
 
Hawa jamaa huwa na gundu nao kila nikienda naambiwa vyumba vimejaa watu wanalipia mwezi mzima nini?
hehehe!kiongozi hizi gemu za nyumbani hizi NOT REKOMMENDED
 
Nashauri aweke kny minutes"Napaswa kuchukua tahadhari mapema"

Minuted....
Sasa tahadhari yenyewe itakua ipi.....ofkoz lazima uhakikishe usalama....don worry...minuted!
 
Minuted....
Sasa tahadhari yenyewe itakua ipi.....ofkoz lazima uhakikishe usalama....don worry...minuted!
HEHEHEHE!ni muhimu sana kuchukua tahadhari.....!infact mazingira yenyewe ya i.s.c yanahitaji tahadhari,

labda kwa kumsaidia tu wiselady ni kwamba TUNATUMIA HOTELS ZENYE MAGETI NA WALINZI WA KI-MASAI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…