YAH:kumkaribisha member ''GENERATION-Y'' ndani ya I.S.C

YAH:kumkaribisha member ''GENERATION-Y'' ndani ya I.S.C

Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..

ISC hamna kufumaniwa bana....soma rules vizuri....kwa afya yako :tea::tea::tea:
 
Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..

Uko guest ipi ile inayoitwa KEKO MAGURUMBASI GEUST HOUSE ILE NILIAMBIWA PALE MNAINGIA KWA FOLENI
 
Woooow!gud to hear that,naomba teamo wajue kabisaaaaaaaaa kwamba hauko tena kny ule ufalme,otherwise me and u only
:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::dance::dance::dance:Infiii bye:A S 103::A S 103:

:A S-heart-2::A S 8::A S 8::A S 8:.....tukainfidelise line??
 
soooo, you think you can handle us all? i mean, hiyo room yako ya kunanihii ni kubwa kiasi gani??

Kwani na wewe kwisha pata valuu?mbona tulikubaliana ni mmoja mmoja kwa awamu?weka kny diary
 
Bwana Yesu asifiwe wapendwa wangu!
kuna nini humu ndani?
Mbarikiwe sana na Bwana wa mabwana....
 
:A S-heart-2::A S 8::A S 8::A S 8:.....tukainfidelise line??
Unashauriwa kuanza kufanya hand over ya ofisi.
Kumbuka si ruksa ku :A S-heart-2::A S-heart-2: kabisa. sisi tunafanya hii :croc: kwa kambi pinzani
 
Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..


jeez mara hii wameshakukamata ..pole na utafumaniwa kweli
 
kwakweli wewe ni mwanachama ''LULU'' ndani ya hii club.........!

ISC hamna kufumaniwa bana....soma rules vizuri....kwa afya yako :tea::tea::tea:

Uko guest ipi ile inayoitwa KEKO MAGURUMBASI GEUST HOUSE ILE NILIAMBIWA PALE MNAINGIA KWA FOLENI

Kwani na wewe kwisha pata valuu?mbona tulikubaliana ni mmoja mmoja kwa awamu?weka kny diary

Bwana Yesu asifiwe wapendwa wangu!
kuna nini humu ndani?
Mbarikiwe sana na Bwana wa mabwana....

Nitakukol kwa ajili ya logistics! Grrrrrrrrrrrrr!

Hahaha......sikuizi mnafanya booking kwa msg.....nishatoka huko!


https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/78939-mods-mnafumbia-macho-haya.html
 
Kwani na wewe kwisha pata valuu?mbona tulikubaliana ni mmoja mmoja kwa awamu?weka kny diary
Noted........hebu niku😛hone:tupange muda na sehemu......i mean ramani ya chumbani kwako
 
Unashauriwa kuanza kufanya hand over ya ofisi.
Kumbuka si ruksa ku :A S-heart-2::A S-heart-2: kabisa. sisi tunafanya hii :croc: kwa kambi pinzani

Kwan hairuhusiwi kutumia :A S-heart-2: kama chambo?? Hii :A S-heart-2: unaweka kwa :fish2: kisha unaitosa majini...na kusubiri...
 
Naombeni niwaulize

Hawa wakoloni wenu mmewapa nini? Mbona wanawaacha huru namna hii? Mbona mi natumikishwa namna hii?

Teamo, Kimey, the Finest, Acid na Roya Roy.....Hebu nipeni lokesheni, nataka kumtoka huyu malabuku mkoloni wangu!

Angalizo: Eneo lisiwe mbali na MDUDU na VYUMBA VYA KULALA WAGENI!
 
Noted........hebu niku😛hone:tupange muda na sehemu......i mean ramani ya chumbani kwako

Kuna signature nimeambiwa ni ya kwako nitabadilisha na kutumia hiyo ya kwako nigongee ki button cha ACCEPTED nianze kuitumia
 
Back
Top Bottom