Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..
ISC hamna kufumaniwa bana....soma rules vizuri....kwa afya yako :tea::tea::tea: