The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hivi mkulu huyu kifungo chake ni usiku na mchana, leo tutafunga champagne kwa ajili ya kumkumbuka kabla hatujaenda kumtoa keko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipata...niliisoma hii post nikiwa tayari kwenye lift....Finest Ashura anasema kama huamini nenda kamuulize kama nimeichukua, ila upate huduma kwanza kabla ya kuuliza....(KKN- kizuri kula na nduguyo)
Eliza wa pale JJ na Ashura wa FEA WEI wamenitumia message wanasema vipi
Aspirin atajibu hili, akichelewa hata mjukuu wake anaweza kumsaidia